what do you mean?
haha!! wewe unaaama hujui bongo5 au unataka nyingine ipi halafu utakuwa unachati na nani sasa unajuwa watu wangapiwana access ya internet bongo?kasheshe haya ndio matatizo ya kuishi ndani ya zoo.
Mkuu lakini unajuwa (unaelewa) maana ya chatup line ?usijizonge ,nothing to do with internet.
nimekupata mkuu . nazielewa chat up...tukupe msaada?Mkuu lakini unajuwa (unaelewa) maana ya chatup line ?usijizonge ,nothing to do with internet.
you hate Tanzania? hater...Ok , una weza Mwambia demu wa Kibongo, "Mrembo niaje, Nakutaka la aziz, Jimama nipe raha, Ewe mpenzi unataka Sosej, Mrembo unani handa , " yani zipo nyingi wewe ukidondoka bongo tuu utazijua zaidi.