Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
<br />kaka unaetaka kununua king'amuzi inategemea na interest yako kuna vingi hawajataja hapo<br />
<br />
kuna discovery world, animaux na national geography kama unapenda mambo ya uchunguz, wanyama majografia yapo,<br />
<br />
kuna mtv base na chanell moja ya black wa uk zinagonga miziki ya nje na sumtime ya africa<br />
<br />
kuna bolywood tv best kuliko b4u movies kwa ajili ya kanda za kihindi<br />
<br />
Kwa soccer kuna setanta ni ya scotland inaonyesha mieleka ya tna na mipira mingi si live haionyesh epl na kuna foot tv channel ya kituo cha watoto cha ac milan ni nzuri kwa makocha<br />
<br />
zakibongo kuna tbc, chanell 10, clouds tv, tbc2 na sibuka hii sibuka ni best wana movie 2 kali kwa siku saa 4 mpaka sa 6 na saa6 mpaka sa 8<br />
<br />
Kuna hizi stvc1, na 2 hizi ni michezo ya kinamama na trailer na scandal za hollywood<br />
<br />
Za habari zipo msnbc, bbc na aljazeera <br />
<br />
channel za africa kuna kbc na citizen za kenya, kbc wanaonyesha uefa champions league ipo e,star ya nigeria ipo kama africa magic all time kanda za kinigeria pia ipo e.tv ya south africa nafkiri inajulikana wanaonesha mieleka wwe live<br />
<br />
Pia zipo chanell za watoto kama kids tv na channel ya movie za zamani mgm <br />
<br />
Kaka kama unataka specific hizi unaweza kununua star times manake kifurush cha dstv cha elf 10 huon ligi ya uingereza ni kibaya kuliko star times,<br />
<br />
Watanzania tubadilike tuongee reality na si siasa
<br />
thnx mkuu,nlishawaambia watu wanakurupuka kabla ya uchunguz wa kina then wanalalamika 2