zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Habari wanajamii Forums!
Jamii imegawanyika kwa makundi na matabaka tuchulie kwa kama mfano
Walio na elimu na wale wasio na elimu.
Kwenye jamii ya sasa hakuna uwiano uliopo katika maisha ya watu (Walio na elimu na wasio na elimu).
Jamii yetu ya leo inawaheshimu na kuwapa thamani watu walio na elimu huku ikiwatenga wale wasio na elimu pasi kujua wao nao ni sehemu kubwa ya maisha na maendeleo ya jamii.
Wenye elimu hupata kazi nzuri zenye mishahara mikubwa na husikilizwa pale wanapotoa hoja na mijadala katika nyanja tofauti za maisha.
Tuchukulie mfano kilimo ambayo ni sekta ambayo inachangia sehemu kubwa ya pato la taifa.
Wakulima wengi wanaiwezesha serikali kupata fedha ambazo nyingine hutumika katika wizara ya elimu kutoa mikopo kwa wanavyuo
Lakini wakulima hao wengi wao hawana elimu.
Wenye elimu wataendelea kuwa superior class kwasababu hata company yao na watu wao wa karibu pia wanaelimu hivyo mnyororo utaendelea mpaka mwisho.
Lakini wasio na elimu company yao ni ya watu wenye hadhi kama yao hivyo mnyororo wa ujinga utaendelea kuwepo kwao.
Nafasi ya watu wenye elimu ni kubwa kwenye jamii kuliko ya wale wasio na elimu kwasababu mazingira na mfumo wa maisha Una wa favor walio na elimu.
Hivyo, wenye elimu watabaki kuwa SUPERIOR CLASS na wasio na elimu watabaki kuwa INFERIOR CLASS.
Jamii imegawanyika kwa makundi na matabaka tuchulie kwa kama mfano
Walio na elimu na wale wasio na elimu.
Kwenye jamii ya sasa hakuna uwiano uliopo katika maisha ya watu (Walio na elimu na wasio na elimu).
Jamii yetu ya leo inawaheshimu na kuwapa thamani watu walio na elimu huku ikiwatenga wale wasio na elimu pasi kujua wao nao ni sehemu kubwa ya maisha na maendeleo ya jamii.
Wenye elimu hupata kazi nzuri zenye mishahara mikubwa na husikilizwa pale wanapotoa hoja na mijadala katika nyanja tofauti za maisha.
Tuchukulie mfano kilimo ambayo ni sekta ambayo inachangia sehemu kubwa ya pato la taifa.
Wakulima wengi wanaiwezesha serikali kupata fedha ambazo nyingine hutumika katika wizara ya elimu kutoa mikopo kwa wanavyuo
Lakini wakulima hao wengi wao hawana elimu.
Wenye elimu wataendelea kuwa superior class kwasababu hata company yao na watu wao wa karibu pia wanaelimu hivyo mnyororo utaendelea mpaka mwisho.
Lakini wasio na elimu company yao ni ya watu wenye hadhi kama yao hivyo mnyororo wa ujinga utaendelea kuwepo kwao.
Nafasi ya watu wenye elimu ni kubwa kwenye jamii kuliko ya wale wasio na elimu kwasababu mazingira na mfumo wa maisha Una wa favor walio na elimu.
Hivyo, wenye elimu watabaki kuwa SUPERIOR CLASS na wasio na elimu watabaki kuwa INFERIOR CLASS.