mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,203
- 44,651
Unataka kusema wamasai wana akili kubwa?
Wasomi(middle class) ndio consumers wazuri wa vitu luxury zikiwemo nguo za gharama.Hao waliosoma ungejua ndiyo wanaringishiana vya USA, Italy na UK huko maofisini, tena wakitoka mikutanoni.
Wahindi hawa hawa au kuna wenginewewe uko kundi gani? inategemea ulikozaliwa, je unajua kama wahindi ndio wanaongoza duniani kwa kupiga pamba?
Mkuu nimecheka sana aisee!Wasomi wengi ni wachafu unaweza mkuta profesa amevaa suti na ndala
sio hao waliokua na wandengerekoWahindi hawa hawa au kuna wengine
Hahahaha wa kule si wanavaaga vikanzu vyao mkuusio hao waliokua na wandengereko
Asante kwa maoni yako. By the way, blouse yako imekukaa safi sana SSK (Suti Safi Kibaruani)Pole sana kwa kutoka "pabaya" (Kwa mujibu wa jina lako) Na ndio maana hata akili zako "zimeathiriwa" kutokana na ulipotokea.
Typical nonsense hapo kwenye bold. Tangu lini nguo zikamuongeza mtu akili? Engineers wengi na wanasayansi hususan wavumbuzi si watu wenye kujali sana muonekano wao.Common sense, kiongozi. Kina Diamond, Kiba, na uliowataja kama mifano yako ya uvaaji vizuri, wako kwenye tasnia ya burudani inayo-waruhusu/wapasa kujiweka wanavyojiweka kimavazi na kimuonekano, na wengi wamejiajiri. Kuwalinganisha na wanasiasa, wasomi na watu wengine wanaojihusisha na mambo mengine mkuu sio sawa.
Aina ya uvaaji na muonekano wako, ndiyo inakutambulisha wewe ni mtu wa aina gani na uwezo wako kichwani. So mtoa mada kupitia post yako, pia tumefahamu wewe ni mtu wa aina gani na uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo, mkuu.