Sawa Sawa amelinganisha makundi mawili tofautiHapo umelinganisha wanamuziki na wanasiasa
Jaribu kulinganisha wanamuziki wasio na elimu na wale wenye zao {walioenda shule na wale ambao hakuenda shule}
Kutumia lugha ya matusi ni ishara ya kukosa hoja ya msingi( kushindwa kujenga hoja).mawazo mafupi na ya mgando kama haya kutoka kwa kijana mtanzania,unategemea tunaenda wapi? kuvaa ni personal choice. Ukitaka usiheshimike wala kulata kazi ya maana basi wewe nenda na kanda mbili kazini.
Kwa taarifa yako watu huangalia mtu na kumwelewa ndani ya sekunde chache sana. Je unathani sisi watu tunaangalia nini? fanyeni kazi acheni kuandika upuuzi na ujinga uliotukuka.
kwanza uo mlinganisho wako sio sahihi uwezi kumlinganisha diamond na prof lipumba,diamond yuko below 30 na lipumba yuko above 60,kitu kingine waafrika wengi mna-fail kwa kukalili maisha let say we mwenye elimu kubwa una nn?,diamond ana nyumba 20 ya chin million 90 na elimu yake ndogo we mwenye elimu kubwa kwasababu mavazi kwako sio issue ume-invest nn cha zaid ya million 100?,acha kukalili maisha na kuwa fake,kuwa realWasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..
Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...
Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana...
Sio KAUKWELI mkuu, LIUKWELI. Mara nyingi, mtu mwenye kupungukiwa na kitu ambacho hata yeye anatambua kuwa kingempa status, huwa anatafuta kitu kingine anachokimudu kufidia.Kama kuna ka ukweli kidogo lakini
Usomi ndo nini kwanza? Na wewe ni mmoja wa hao wasomi?Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..
Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...
Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana...
Umepanic brother! Cool down. Hajasema yeye ana elimu kubwa, na ndio maana hakujitolea mfano. Yawezekana kakosea mlinganisho, lakini hajakosea logic.kwanza uo mlinganisho wako sio sahihi uwezi kumlinganisha diamond na prof lipumba,diamond yuko below 30 na lipumba yuko above 60,kitu kingine waafrika wengi mna-fail kwa kukalili maisha let say we mwenye elimu kubwa una nn?,diamond ana nyumba 20 ya chin million 90 na elimu yake ndogo we mwenye elimu kubwa kwasababu mavazi kwako sio issue ume-invest nn cha zaid ya million 100?,acha kukalili maisha na kuwa fake,kuwa real
Ha ha ha ha.. umenichekesha mkuuSio KAUKWELI mkuu, LIUKWELI. Mara nyingi, mtu mwenye kupungukiwa na kitu ambacho hata yeye anatambua kuwa kingempa status, huwa anatafuta kitu kingine anachokimudu kufidia.
Ninaye rafiki yangu ambaye ana tatizo hili. Anajipiga mashati ya mikono mirefu, miwani na kalamu saaaafi mfuko wa shati. The way anaongea akiwa nyumbani na mkewe ni tofauti na anavyoongea akishapiga hizo pamba zake za kuendea kibaruani.
Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..
Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...
Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana...
kuwaringanisha = kuwalinganisha.Chizi nae kafanya utafiti,kazi ipo. Na kazi inakuwa kubwa zaidi ukiangalia hao watu aliojaribu kuwaringanisha kwenye utafiti wake,eti wasanii wa muziki (ambao muonekano kwao ni kitu cha msingi sana) na wanasiasa.
Pole sana kwa kutoka "pabaya" (Kwa mujibu wa jina lako) Na ndio maana hata akili zako "zimeathiriwa" kutokana na ulipotokea.kuwaringanisha = kuwalinganisha.
Hata mwanasiasa muonekano wake naye ni kitu cha msingi.
"Wasomi nguli" una maanisha nini?Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..
Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...
Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana...