Wenye elimu ndogo ndio wanapenda kuvaa-vaa vizuri na kupendeza

Typical nonsense hapo kwenye bold. Tangu lini nguo zikamuongeza mtu akili? Engineers wengi na wanasayansi hususan wavumbuzi si watu wenye kujali sana muonekano wao.

NYERERE%2BMANDELA.jpg


1919345_orig.png

Huyu ni George Bush alipokuja Tanzania. Kama ungealikwa usingethubutu kukunja mikono ya shati, ungetaka uonekane kwa mavazi. Be yourself brother!

quote-i-would-say-natural-is-the-best-way-to-describe-the-real-me-i-m-not-always-going-out-paris-hilton-110-46-14.jpg


Hata ukiwa msanii haimaanishi saa zote unalipuka ili uonekane ndio una akili. Akili haziletwi na nguo. Ndio maana tuna ugomvi wa MAJOHO ya kuhitimu chuo. Hata uvishe Joho la Hariri, mjinga ni mjinga tu.

Jifunze kusoma na kuelewa mkuu, usipende kukurupuka. Sijasema mavazi humuongezea mtu akili. Mtu yeyote timamu kichwani, anajua kupangilia mavazi kulingana na mazingira na aina ya watu atakaojihusisha nao. Ndiyo maana hao "wanasayansi na engineers" huwakuti wakivaa Air Jordans, milegezo, au kuvaa cheni wawapo makazini.

Hiyo case ya George Bush kukunja mikono ya shati, dude! That's the biggest man in the world at the moment. He didn't have to impress anyone(on that occasion), but everybody needed to impress him. Mwajiri wako anavaa anavyojisikia, ila wewe unavaa kumpendeza. Common sense boss, if you can afford.

Paris Hilton...seriously?? SMFH! How many times has she flashed the world, or blessed it with her cleavage? How many times has she been caught going commando in public? You take tips from a know drug abuse socialite? That figures.

Muonekano wako huakisi kwa kiasi kikubwa uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo. Muonekano ndio unatoa taswira yako mbele ya hadhira.
 
Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..

Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...

Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana... :D:D:D
Mpka mtu aitwe msomi kiwango gani cha elimu anapaswa kuwa nacho tuanzie hapo kwnza
 
Sio KAUKWELI mkuu, LIUKWELI. Mara nyingi, mtu mwenye kupungukiwa na kitu ambacho hata yeye anatambua kuwa kingempa status, huwa anatafuta kitu kingine anachokimudu kufidia.

Ninaye rafiki yangu ambaye ana tatizo hili. Anajipiga mashati ya mikono mirefu, miwani na kalamu saaaafi mfuko wa shati. The way anaongea akiwa nyumbani na mkewe ni tofauti na anavyoongea akishapiga hizo pamba zake za kuendea kibaruani.


Hahah, nguo zinambadili mpaka maongezi.
 
Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..

Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...

Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana... :D:D:D
Wenye Elimu ndogo ndio watafutaji sana na wanapesa Maana wamepoteza mda wao kwenye kutafuta

stop wishing start doing
 
Hapo umelinganisha wanamuziki na wanasiasa
Jaribu kulinganisha wanamuziki wasio na elimu na wale wenye zao {walioenda shule na wale ambao hakuenda shule}
sure...yeye kawalinganisha wanasiasa na wasanii,kitu ambacho hakileti logic
 
Mkuu....
Inategemea na mazingira ya mtu aliyokulia.
Mtizame mtu anaitwa 2CHAINZ ( Google )
amesoma hadi PhD lakini anavaa mpaka basi na anaongea pumba tupu.
 
Kupendeza au kutopendeza ni judgement ya macho ya mtu , kuna wasoomi na wasomi ,wasoomi wanakuwa affected na foolish factors in clothing ao wengine Mungu jaalia wana mambo yao mengi
 
Mkuu....
Inategemea na mazingira ya mtu aliyokulia.
Mtizame mtu anaitwa 2CHAINZ ( Google )
amesoma hadi PhD lakini anavaa mpaka basi na anaongea pumba tupu.
2 Chainz msanii. Na alikuwa anakuwa wa pili mara nyingi class kwao high school.Hata ukimkuta engineer kavaa mabwanga na manguo machafu utasema hajipendi.
 
Wasomi wala hawaangaikagi sana na kupendeza pendeza, labda ni kwa sababu kulingana na Maslow's hierarchical of needs, hilo sio tena suala la kipaumbele kwao..

Ila sasa wenzangu na mimi wale wenye elimu ya tia maji tia maji, ndio huwa wanapenda kupiga pamba mwanzo mwisho ili kuboost reputation zao... Wengine huenda mbali zaidi na kuweka staili za ajabu ajabu za nywele. Kama unabishana na utafiti huu angalia watu wenye elimu ndogo kama Ali Kiba, Diamond, Ray Kigosi, Hemed PhD, Geemodel and the like...

Ukitoka hapo waangalie wasomi nguli kama Prof Lipumba, Dr... Mapad Lock, yule baba wa watu yeye yuko bize na hapa kazi tu, wala hanaga muda wa kujiremba remba sana... :D:D:D
=====

Tazama mjadala kuhusu mada hii ukisomwa JamiiLeo
hujaielewa Abraham Maslow's hierarchy of need, kasome tena ingawa title naiunga mkono
 
Back
Top Bottom