Wenye diploma GPA chini ya 3.0 hawaruhusiwi tena kusoma degree kama zamani

Veta sijui kwanini watu wanaidharau.


Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Mzee mm ni mmoja wapo. Mm nna Bachelor degree lakini nimeajiriwà kwa cheti cha Vétà nakula maisha tuu na hapa nawaza kusoma Masters Open University maana nna pesa sijui hata nizifanyié nn
 
Kuna kitu kinaitwa RPL, kinaratibiwa na TCU wao wenyewe, unafanyiwa mafunzo fulani na chuo husika yanayohusu kozi unayotaka kusoma kwa muda, kisha TCU wanakupa mtihani kupitia kile chuo, ukifaulu huo mtihani kwa viwango walivyoviweka basi unadahiliwa kuisoma hiyo kozi. Hebu jaribu kufuatilia kwenye website ya TCU kuhusu hiyo RPL utapata mwanga zaidi. (Maelezo yangu yanaweza yasiwe sahihi kwa 100% ila amini niko "relevant" katika hili).
Is no longer applicable
 
Watu wengi huamini wanaosona veta ni wale waliofeli. Lakini ukweli ni kwamba ni taasisi ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa. Kiwanda kimoja kinaweza kuwa na electrical engineer mmoja lakini FTC zaidi ya mmoja.
Kwani VETA hutoa FTC? Nadhani hapa umechanganya
 
Veta sijui kwanini watu wanaidharau.


Veta ni taasisi pekee ambayo asilimia 90 ya wahitimu wamejiajiri au kuajiriwa (Huu ni utafiti wangu binafsi)
Ni uelewa mdogo sana wa wanasiasa wa nchi za africa. Vocational trainees nchi zilizoendelea zinazotegemea viwanda ndo wanaoendesha uchumi , sina uhakika kwa nini africa wanadhani ma PHD holders ndop watu wa maana kwa uchumi
 
Watu wengi huamini wanaosona veta ni wale waliofeli. Lakini ukweli ni kwamba ni taasisi ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa. Kiwanda kimoja kinaweza kuwa na electrical engineer mmoja lakini FTC zaidi ya mmoja.
Kilicho muhimu ni cheti cha form four!
Veta ni takataka tu!
 
Wadau nimemaliza dip in education mwaka 2014 ,,Nina GPA ya 3.0 Sayansi (chemistry & biology) nataka nisome degree mwaka huu ila nahitaji chuo cha serikali,,je Nina qualify?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom