#COVID19 Wenye damu group O ni kweli Corona haiwasumbui?

Leo ndo nimejua hii kitu, mimi ni group 0-, acid huwa inanisumbua sana, ila kwenye mbu sasa, mbu wanatushambulia balaa, unaweza kaa na mtu mwingine sehemu yenye mbu na wala hata asijitikise ila wewe sasa, mbu wanakushambulia balaa.
Nilifikiri nasumbuka mwenyewe aisee
 
Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Unaweza kujidanganya ,halafu ukashuudia unakosa hewa sasa hivi.

Tuendelee kuchukua tahadhari tafadhali.Tuache kupiga ramli.
 
unaweza ukajipima mwenyewe kama mimba.....Kuna App yake unaweza ukaipakua toka kwenye Playstore.....CeliApp
aàah hapana mkuu .....
hapo lazima uende Kwa wataalamu ambao watakupima baada ya kuchukua sampuli kidogo ya damu na watachanganya na reagents special Kwa ajili ya kupimia group la damu.

Maabara zipo kibao mkuu unaweza Zama mojawapo chapu t kama dakika 5-10 majibu yako tayr baada ya kuchukuliwa sampuli ya damu.
 
0-
Tupo humu,kuna ndugu humu aliuguliwa na baba yake 2016 mwenye group hili,alihangaika sana kutafuta wa kumchangia,alipoleta uzi humu wakajitokeza watu kadhaa.mimi nakuja kuona uzi anatoa shukrani,ingawa baba yake aliishakuwa amefariki tayari.

Mpaka akapendekeza group hilo tuunde group la watsapp,maana yakikukuta kuna muda hata hospital nako wanabaki kuangaliana,maana tunampa yeyote ila kupokea ni kwa mwenzetu tu ambaye kumpata ni kipengere.

1992 kwenye kambi nzima ya jeshi,alipatikana mmoja tu aliyesaidia niongezewe damu,ningeeshakataga moto kitaambo.
Kuhusu ugonjwa,nakumbuka typhoid ilikaba nyumba nzima,mimi walaa.mpaka leo nikikwambia ninaumwa maralia si rahisi kunielewa maana huwa siregei kabisaaa.
 
Nipo hapa Sina uhakika,lkn naona dalili ya kwenye Koo kama napaliwa hiv niliona hii haki naona kabisa kirona imeingia mwilimu nawahi chai ya limao, na medication nyingine sio kwamba tunakaa tu kusubiri.

Kuhusu ukimwi mkuu summu haijaribiwi
Kwenye ukimwi mkuu mimi naongea kwa asilimia mia kwani yalishanikuta na hapa nina sema KAMWE SIWEZI PATA UKIMWI!!labda magonjwa mengine.na mwanzoni madaktari walishangaa ila ndio walilidhibitisha hilo!!
 
Hawanaga nguvu za kiume hao, daily wanashinda kwa Mwamposa wakipaka mafuta ya upako nyeti zao ili ziimarike lakini wapi, wakitoka huko wanaenda kwenye vumbi la Kongo lakini wapi . Baada ya hapo wanaenda kunywa mchuzi wa pweza lakini wapi.....
Wakipiga kamoja ngoma inaahtuka Tena next weekend
Kwa kua umesemwa hiyari basi hata wewe ni hiyari yako kuandika hivyo
 
Kwa hiyo wote walokufa kwa covid ni magroup mengine ya damu? Na tafiti zinasema group o ndo wapo wengi duniani kuliko makundi mengine ya damu
 
We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Aisee wife ana Hilo group toka nimuoe huu mwaka wa tano tumbo ndo ugonjwa wake hivi kwann wanasumbuliwa nahiyo issue ya tumbo Ila hajawahi kuumwa Marathi mengine toka Niko nae.
 
0-
Tupo humu,kuna ndugu humu aliuguliwa na baba yake 2016 mwenye group hili,alihangaika sana kutafuta wa kumchangia,alipoleta uzi humu wakajitokeza watu kadhaa.mimi nakuja kuona uzi anatoa shukrani,ingawa baba yake aliishakuwa amefariki tayari.

Mpaka akapendekeza group hilo tuunde group la watsapp,maana yakikukuta kuna muda hata hospital nako wanabaki kuangaliana,maana tunampa yeyote ila kupokea ni kwa mwenzetu tu ambaye kumpata ni kipengere.

1992 kwenye kambi nzima ya jeshi,alipatikana mmoja tu aliyesaidia niongezewe damu,ningeeshakataga moto kitaambo.
Kuhusu ugonjwa,nakumbuka typhoid ilikaba nyumba nzima,mimi walaa.mpaka leo nikikwambia ninaumwa maralia si rahisi kunielewa maana huwa siregei kabisaaa.
Hebu mkuu pangekuwepo utaratibu wa kujuana ikiwezekana paanzishwe group telegram inayobeba watu wengi au wasap kwa kuanzia tukajuana kimikoa hata ikitokea tabu tujue tunasaidiana vipi binafsi nipo Dom ni O- pia Nina jamaa yangu yeye ni B-
 
We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Kuna mtu ninamjua ana group O na amapata mild stroke. Fanya utafiti upya.
 
Back
Top Bottom