Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,586
- 3,935
Habari watanzania wenzangu,
Hoja yangu ya msingi ni kuhusu hawa wenye bar. Unakuta bar nzuri ina wateja wengi kuna kila aina ya chakula kipo hapo.
Tatizo lipo kwenye uchache wa vyoo unakuta bar ina vyoo viwili tu kwa ajili ya wale wa haja kubwa.
Ukiingia tu chooni hujaanza kutumia mtu kagonga mlango unakuta watu kama kumi wanakusubiri utoke waingie.
Wenye bar tafadhalini mtusaidie kwa hilo tunapata sana shida wateja.
Mamlaka mnazotoa vibali tusaidieni kwa hilo. Nahitaja bar moja ambayo ina wateja wengi lakini vyoo vya kwa ajili ya haja kubwa ni viwili tu.
Bar hii inaitwa yenu bar ipo Ubungo ipo karibu na mataa pale opposite na kituo cha mwendokasi kilichopo TANESCO.
Hapa unoko unoko tu
Hoja yangu ya msingi ni kuhusu hawa wenye bar. Unakuta bar nzuri ina wateja wengi kuna kila aina ya chakula kipo hapo.
Tatizo lipo kwenye uchache wa vyoo unakuta bar ina vyoo viwili tu kwa ajili ya wale wa haja kubwa.
Ukiingia tu chooni hujaanza kutumia mtu kagonga mlango unakuta watu kama kumi wanakusubiri utoke waingie.
Wenye bar tafadhalini mtusaidie kwa hilo tunapata sana shida wateja.
Mamlaka mnazotoa vibali tusaidieni kwa hilo. Nahitaja bar moja ambayo ina wateja wengi lakini vyoo vya kwa ajili ya haja kubwa ni viwili tu.
Bar hii inaitwa yenu bar ipo Ubungo ipo karibu na mataa pale opposite na kituo cha mwendokasi kilichopo TANESCO.
Hapa unoko unoko tu