rweyy
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 229
- 146
mimi niko pamoja na mtoa mada.mimi naishi nyakato mahandu tulikuwa hatuna barabara ya kwenda makaburini limekuja katapila kuchonga barabara ile kwa sasa tuna barabara na watu wote wamesifu kuwa diwani na mmbunge wetu wenje wanafanya kazi tulio watuma. ila bado kuna barabara ambazo hazijachongwa zingine zina hitaji marekebisho tumuulize nani? kama sio huyo huyo mmbunge aliyesifiwa. kama kuna mazuri kafanya lazima tuseme na kama kuna matatizo lazima tuseme vilevile.