Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
Unaona kisichana kizuri unakitaka,kumbe kagonjwa.
Unaona ana kitambi unamtaka,shauri yako kumbe mgonjwa.
Unamuona meneja,unamtaka kumbe anaugua magonjwa.
Unaona mrembo mwanachuo,unamtaka,kumbe mgonjwa.
Unamuona ndani range sport unamtaka kumbe mgonjwa.
Unamuona kanisani mpole,ukadhani umepata wa kuoa kumbe kaokoka baada ya kuanza kuishi kwa matumaini.
Kaajiliwa tu,unamtaka kumbe mgonjwa.
Wamedahiliwa tu munawataka kumbe wanaishi kwa matumaini.
BE CAREFUL.
usije kuangamia kijinga kijinga.
Unaona ana kitambi unamtaka,shauri yako kumbe mgonjwa.
Unamuona meneja,unamtaka kumbe anaugua magonjwa.
Unaona mrembo mwanachuo,unamtaka,kumbe mgonjwa.
Unamuona ndani range sport unamtaka kumbe mgonjwa.
Unamuona kanisani mpole,ukadhani umepata wa kuoa kumbe kaokoka baada ya kuanza kuishi kwa matumaini.
Kaajiliwa tu,unamtaka kumbe mgonjwa.
Wamedahiliwa tu munawataka kumbe wanaishi kwa matumaini.
BE CAREFUL.
usije kuangamia kijinga kijinga.