Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,153
- 1,303
Na hivo vipenzi vyenu alivoviondoa alikuja navyo nani? Naomba jibu lako tafadhali.Katuondolea vipenzi vyeti ametuacha na majonzi yasiyoisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hivo vipenzi vyenu alivoviondoa alikuja navyo nani? Naomba jibu lako tafadhali.Katuondolea vipenzi vyeti ametuacha na majonzi yasiyoisha.
hapanaUnazidi thibitisha anachosema mleta mada.
Hivi baba yako akianza kuchinja wadogo zako wanaokosea na wewe akakupa mazawadi sababu hujakosea utakuwa na furaha kweli?
Daah..noma sana ila kwanini kutishana kuwa kuna moto wa jehanamu.?
#MaendeleoHayanaChama
Hivi hukuni quote kumbe, ookHii ni kwa mujibu wa mtazamo wako, niliye m quote alikuwa na imani tofauti na ndio maana swali langu lililenga kwake aniambie imekuaje aseme Mungu hakuwa na lengo la binadamu wafe ilihali uwepo wa kifo kimetokana na huyo huyo Mungu.
Hao mabinti walikuwa huru kulala na wanaume wengine?Walikua wanaona fahari kulala na watemi
Swala Sio kutishana ndo halisi.so Ni heri kujiandaa tuDaah..noma sana ila kwanini kutishana kuwa kuna moto wa jehanamu.?
#MaendeleoHayanaChama
Bro free will i
Kusingekuwa na vitisho kila mtu angeishi kivyake! Kungekuwa n free will na hakuna moto wengine wangemchagua kaka shetani
Ok kila mtu Ana Uhuru kuchugua Mungu au shetani hakuna anayelazimishwa.
Kusingekuwa na vitisho kila mtu angeishi kivyake! Kungekuwa n free will na hakuna moto wengine wangemchagua kaka shetani
Hao mabinti walikuwa huru kulala na wanaume wengine?
Wakilala na wanaume wengine kama wakikamatwa na mtemi nini kilikuwa kinawakuta?Ndio walikua
Natamani ungemjua walai usingempa shutuma hizo..nakuombea neema tu..ujue wema wake..na ukuu wake kwa wanadamu!Wengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
Kuna Mungu wengi? Au kuna majina ya Mungu mengi?Ungefaa umtaje na huyo mungu ambaye humpendi.
Yaani jina lake ni nani ?
Mana kuna mungu wengi sana.
Sema mungu flani, na namchukia kwa sababu flani.
Baba mzinzi na mimi ninatakiwa kutubu ?Hii dhambi inatuhusu kwa sababu sisi tu watoto wa Adam na kwa kuwa tu watoto wake basi hii tayari imekuwa kwenye asili yetu.
Na hii haikuwa kwa Adam tuu ata sisi leo hii kuna dhambi zetu ambazo tunazitenda na kupelekea kizazi na kizazi kuzirithi. Mfano mtazame Daudi na dhambi yake ya uzinzi hata baada ya kumuomba Mungu msamaha na akasamehewa lakini hata kizazi chake bado kilitembea na hiyo dhambi bado.
Kumbukumbu la Torati 5:7Kuna Mungu wengi? Au kuna majina ya Mungu mengi?
😆😆Endelea na akili za Sunday school hizo
Watu wana "miss" hii point na sijui kwanini. Mungu ni neno moja linaloweza kukubali maana yoyote ile kulingana na unachoona ni faraja kwakoUngefaa umtaje na huyo mungu ambaye humpendi.
Yaani jina lake ni nani ?
Mana kuna mungu wengi sana.
Sema mungu flani, na namchukia kwa sababu flani.