Una elimu finyu sana ya masuala hayo mkuu..ni bora ukanyamaza na uache lawama...Katuondolea vipenzi vyeti ametuacha na majonzi yasiyoisha.
Huyo Mungu wa kiafrica ambae hata gari kuvumbua hajawai..inakua ngum kumuamini chiefYupo sasa?
Waafrika tunapigwa sababu tumeachana na miungu yetu tukaambatana na miungu mfu ya kigeni
Sitarajii nieleweke leo
AyminMungu tusamehe na utuongoze katika njia iliyonyooka
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Ndo maana kila siku unalalamika Mara huna hela ya kula, sijui huna Kazi. Mungu huwapa favor wanaompendaWengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
Ukitulia utarudi kwenye mstari tu.Namchukia sana
Daah! pumzi zinatuhadaa sana.Wengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
Licha ya vipindi vigumu ambavyo huwa napitia maishani mwangu lakini hata shetani anajua nampenda Mungu kiasi gani. Nina mengi ya kushuhudia kuhusu namna Mungu anavyojidhihirisha "live" katika kila hatua ya maisha yangu ila nahofia kujaza server ya watu. Kimsingi huwezi kumpenda Mungu kama huijui thamani yake maisha mwako. Nionavyo,wewe unasikiasikia tu neno "Mungu" ila haujampa nafasi ajidhihirishe wazi wazi maishani mwako. Na hili linawakumba watu wengi sana,wewe ni sample tu.Wengine hatuna tu option kulingana na vitisho tulivyopandizwa tangu utotoni ila huyu Mungu hatumpendi haswa
Sasa hiyo dhambi inatunusu nn sisi?mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.
Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Siyo kutishana,ni kweli. Kama huamini kwa kusikia subiri utaamini kwa kuona. Kwa hulka, Mimi siyo mtu wa kuamini mambo kirahisi hadi nijiridhishe pasipo shaka yoyote. Achana na faraja hewa ambazo watu wanafarijiana duniani hapa. Mungu yupo na kila asemacho ni dhahiri na kweli.Daah..noma sana ila kwanini kutishana kuwa kuna moto wa jehanamu.?
#MaendeleoHayanaChama
Akili za kishabiki hizi. Ila ukikuta huyu kwenye matatizo anaomba Mungu kwa lugha zote. Na Mungu anakusaidia no matter ulimkufuruDaah! pumzi zinatuhadaa sana.