Gambamala
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 1,045
- 766
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Boko Haram wametuhumiwa kwa kuwaua watu 26 katika mashambulizi dhidi ya kijiji kimoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria , karibu na eneo ambalo wasichana zaidi ya miambili walitekwa nyara. Hawa 26 ni tofauti na 118 na waliouawa juzi.Source; BBC http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2014/05/140521_nigeria_borno_alegarmo.shtml