kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 358
- 675
Habarini wana Jambi wa humu ndani.
Natumai mu wazima kabisa.
Leo nataka niwasanue (niwahabarishe) jambo wakuu jambo ambalo ukubali ukatae ila ukweli ndo nakupa (ndo huo).
Ukubali ukatae, wengi wetu tunaishi na kudate na wapenzi wa watu wengine, ndo mana linaponijia wazo la kuowa hoja za joka jeusi naziweka kipaumbele.
Wengi wao huingia kwenye mahusiano baada tu ya kumpoteza ampendaye, kumpoteza huko yawezekana ni kwa kujua (kuachana) au kupotezana tu bila mawasiliano kwa muda mrefu.
Ndo mana inakuwa rahisi ma ex wa mpenzi wako kurudiana na mpenzi wako kirahisi hasa kama walikuwa wanapendana. Kuwa makini kama unataka amani fatilia ya nyuma ya mpenzio achana na porojo za watu ,ety ukimchunguza bata humli akati ni kwa faida yako
NB: Nakusanua shtuka shtuka mkuu, mpenzi wa mtu huyoo.
Natumai mu wazima kabisa.
Leo nataka niwasanue (niwahabarishe) jambo wakuu jambo ambalo ukubali ukatae ila ukweli ndo nakupa (ndo huo).
Ukubali ukatae, wengi wetu tunaishi na kudate na wapenzi wa watu wengine, ndo mana linaponijia wazo la kuowa hoja za joka jeusi naziweka kipaumbele.
Wengi wao huingia kwenye mahusiano baada tu ya kumpoteza ampendaye, kumpoteza huko yawezekana ni kwa kujua (kuachana) au kupotezana tu bila mawasiliano kwa muda mrefu.
Ndo mana inakuwa rahisi ma ex wa mpenzi wako kurudiana na mpenzi wako kirahisi hasa kama walikuwa wanapendana. Kuwa makini kama unataka amani fatilia ya nyuma ya mpenzio achana na porojo za watu ,ety ukimchunguza bata humli akati ni kwa faida yako
NB: Nakusanua shtuka shtuka mkuu, mpenzi wa mtu huyoo.