Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,170
- Thread starter
- #81
Tofali za interlock
Mkuu Kwa sasa bei zake ni million kumi na nane kama utataka iwe full yaani heater Zeke na filter zake pia inakuwa na tank mbili
Machine ya alizeti nakushauri sio ya kukurupuka ni kut
Commercial peanut butter maker & Peeling machines mnauzaje? Niwekee picha zake pia hapa.Njoo utengenezewe machine bora
Peanut butter ni million Mbili na laki sita karibu 0659567058Commercial peanut butter maker & Peeling machines mnauzaje? Niwekee picha zake pia hapa.
Mkuu, UMESHATAPELI WATU HUKO? Hizi namba 0659567058 mbona hazipatikani muda wote? Hizi biashara za waswahili changamoto sana.Peanut butter ni million Mbili na laki sita karibu 0659567058View attachment 1652048
Samahani unaweza kunitumia picha ya mashine yako yenye uwezo mkubwa ikiwa kamili pamoja na specs zake kamili,whether it’s imported or locally made.Mkuu Kwa sasa bei zake ni million kumi na nane kama utataka iwe full yaani heater Zeke na filter zake pia inakuwa na tank mbili
Machine ya alizeti nakushauri sio ya kukurupuka ni kutulia
Hapana mkuu ni project ilikuwa ya muda mrefu mazingira yake network husumbua ila ipo hewani karibu ofisi zipo uwe huru nduguMkuu, UMESHATAPELI WATU HUKO? Hizi namba 0659567058 mbona hazipatikani muda wote? Hizi biashara za waswahili changamoto sana.
Hizi ni kwa oda karibu ofisini ubungo externalSamahani unaweza kunitumia picha ya mashine yako yenye uwezo mkubwa ikiwa kamili pamoja na specs zake kamili,whether it’s imported or locally made.
Ile ya kukoboa mpunga kwa kuchambua kama panya mnaitengeneza?Hizi ni kwa oda karibu ofisini ubungo external
Inatengenezwa vizuri tu mkuuIle ya kukoboa mpunga kwa kuchambua kama panya mnaitengeneza?
Baada ya kupata mashine ya kukoboa mpunga kwa kuumenya je vipi kuhusu mashine ya kugrade mchele ipo na kama ipo ni bei gani na vipi uwezo wake wa kazi ni kg ngapi kwa saaInatengenezwa vizuri tu mkuu
Jibu la swali hili ni muhimu sanaBaada ya kupata mashine ya kukoboa mpunga kwa kuumenya je vipi kuhusu mashine ya kugrade mchele ipo na kama ipo ni bei gani na vipi uwezo wake wa kazi ni kg ngapi kwa saa
Mkuu swali lako ni General sana ila kiufupi wenzetu kwenye technology wapo juuHivi kwann ukiangalia mashine ya kibongo na ya nje unajua tofauti hata kwa picha tu??
Yani unaona kabisa hii ni University na hii ni Shikamoo mwalimu.
Hizi zipo boss iwe kutoka nje au za hapa kwenye kiwango itategemea hitaji lako wewe karibuBaada ya kupata mashine ya kukoboa mpunga kwa kuumenya je vipi kuhusu mashine ya kugrade mchele ipo na kama ipo ni bei gani na vipi uwezo wake wa kazi ni kg ngapi kwa saa