Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,532
Mnazo mashine za ku pack. Yaani mkanda wa packets unaweka vitu na zinabana packets tayari kwa kuuza.Watu Wengi wanasumbuka kuzipata mashine imara na kupitia hili wafanyabiashara wamekuwa chanzo cha kuwapiga pesa zao.(SAVE KWANZA HII NAMBA YETU 0762612213 SMS/CALLS)
ENDELEA!!!!!!!
Kutokana na hiki kilio cha Wengi SISI KAMA WAJASIRIAMALI TUNAJUA UGUMU UNAOPATA KUITAFUTA PESA YAKO HALAFU UNAPATA KISICHO BORA Wapo waliopigwa humu wengine wametufuata wengine kilio cha kimya kimya poyeeeeeee!!!!!!
Tunaendesha karakana mbili Kwa hapa Dar es salaam moja Ubungo external na nyingine vingunguti Japo tumebase sana na Ubungo external
mashine tunazozalisha ni hizi-
-Mashine za Kusaga na kukoboa aina zote
-mashine za Tofali aina Zote mpaka Tofali kumi Kwa wakati mmoja
-mashine za juice ya miwa kuanzia za umeme na mafuta pia za vibanda
-mashine za Sabuni hapa Zote za mche na maji
-mashine za Kokoto Kwa uwezo wako
-Mashine za katani kuzifunga katika piles
-mashine za uchenjuaji wa dhahabu ball mill machines
-Motor mbali mbali Kwa uwezo wako mpaka 200hp zipo
-mashine za kutengeneza vyakula vya mifugo
-mashine za kukamua na kuchuja mafuta ya Alizeti
-mashine za pea nut butter
-mashine za Kuchana na kuranda mbao
-mashine za chaki
-mashine za kupukuchua mahindi
-Mashine za kukoboa mpunga
-mashine za kukata majani
MASHINE NYINGI TUNAWEZA KUZITENGENEZA UNAWEZA KULETA WAZO LAKO
Mchanganuo wa kila Mashine
MASHINE ZA KUSAGA NA KUKOBOA
*MASHINE ZA KUKOBOA NA KUSAGA NAFAKA KAVU (zinazotumia umeme 3phase)*
*VINU VYA KUSAGA;*
*KG250 (kwa saa) - 1,800,000*
*KG500 (kwa saa) - 2,800,000*
*KG750 (kwa saa) - 3,500,000*
*KG1,000 (kwa saa) - 4,000,000*
*VINU VYA KUKOBOA;*
*KG500 (kwa saa) - 2,800,000*
*KG750 (kwa saa) - 3,500,000*
*KG1,000 (kwa saa) - 4,000,000*
*MASHINE ZA KUKOBOA NA KUSAGA NAFAKA KAVU (zinazotumia mafuta "diesel")*
*VINU VYA KUSAGA;*
*KG250 (kwa saa) - 2,400,000*
*KG500 (kwa saa) - 3,300,000*
*KG750 (kwa saa) - 3,800,000*
*KG1,000 (kwa saa) - 4,500,000*
*VINU VYA KUKOBOA;*
*KG500 (kwa saa) - 2,400,000*
*KG750 (kwa saa) - 3,800,000*
*KG1,000 (kwa saa) - 4,500,000*
*Mashine zote zipo (kamilifu) mota, kinu & reli.*
MASHINE ZA KUKAMULIA JUISI YA MIWA
*Yamkono (manual) - TZs 700,000*
*Yaumeme - TZs 1,600,000*
*Yamafuta - TZs 1,700,000*
*Yaumeme & mafuta - TZs 2,000,000*
*Yaumeme (hii ina kibanda kikubwa & matairi) - TZs 2,300,000*
*Yamafuta (hii ina kibanda kikubwa & matairi) - TZs 2,450,000*
*Yamafuta & umeme (hii ina kibanda & matairi ) - TZs 2,850,000
Mashine za pea nut butter kuanzia 1.8m
mashine za kuchana Mbao 2.8m
MASHINE ZA TOFALI
Mashine ya Mkono 500000
mashine ya umeme Tofali moja 2.5m
mashine ya umeme Tofali mbili 2.7m
mashine ya Tofali nne million 12
mashine ya Tofali 8
Mashine ya Tofali 10
[/b]Hizi ni mashine Kwa wazalishaji wakubwa[/b]
mashine ya Tofali 8
Mashine ya Tofali
Mixer za kuchanganyia
nusu mfuko 3.5m
robo tatu 4.7m
mfuko mzima 5.8m
MASHINE ZA SABUNI ZA MICHE
Hizi tunazitengeneza Kwa oda Million kumi na tatu uwezo wake miche 200 Kwa saa ikiwa na mixer yake yenye ujazo Lita 300
pamoja na vitu vyake vyote
Zipo Kubwa zaidi Kutokana na uhitaji wako
MASHINE ZA KUSAGA KOKOTO
mashine ya Kusaga Kokoto tunazitengeneza Kwa oda kuanzia million 14m inatoa Kokoto Kwa size tofauti ukitaka na conveyor na vingine vya ziada karibu pia
Mashine za chaki kuanzia 1.2m chaki 100
Mashine za kuchanganya vyakula vya mifugo kuanzia 6m
MASHINE ZA KUTOKA NJE ZITAKUWA NA UZI WAKE chini ya njaidakia store
Mashine zaidi tutazidi ku updates
Mashine mbalimbali tuone 0762612213 machines mbalimbali