The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa
Waziri mkuu kijana wa Ethiopia ambaye amepokea tuzo ya noble peace prize si Muislam wengi wanavyodhani bali ni mprotestasti pure mlokole na kanisani hakosi kila jumapili.
Abiy ambaye baba yake ni kabila la Oromo na mama yake Amhara aliamua kufuata dini ya mama yake ya Ukristo badala ya baba yake ambae alikuwa Muislam. Ila jina la Ahmed ni la baba yakr.
Waziri mkuu kijana wa Ethiopia ambaye amepokea tuzo ya noble peace prize si Muislam wengi wanavyodhani bali ni mprotestasti pure mlokole na kanisani hakosi kila jumapili.
Abiy ambaye baba yake ni kabila la Oromo na mama yake Amhara aliamua kufuata dini ya mama yake ya Ukristo badala ya baba yake ambae alikuwa Muislam. Ila jina la Ahmed ni la baba yakr.