Nenda kwa kalapina au hamorapaBado napanga kichwani nichague yupi wa kumexpose
I wish I could be Ben polKumbe kademu kazuri ivo! I wish I could be IGP
Sio vibaya, ila wakikorofishana au ben pol atakapomuumiza huyo ebitoke ni rahisi sana kwa sisi wanaume kutumia silaha ya kwanza haukuwa chaguo langu ulijileta tu mwenyewe!Kwani ni vibaya yeye kumpenda mwanamke ambaye amemwonyesha hisia zake?
majuto ni mjikuu.Hayo baadaye
Wewe unatakaje kwani??Kwa hiyo wewe ulitakaje?
Oooh, unataka niache wivu! Nimekuwivia wewe??Acha wivu