JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Misemo hii inafariji pale unapoamua kuoa mke mwenye sura kama tofi iliyotafunwa ikatemwa.
Tuwaheshimu wake zetu ... Kuna magoma unapiga kwa kuwa mjini TANTAWI ... Mpaka goma linakuuliza umekosa nini kwa mkeo ... Mke wangu ni kisu ila sasa nikiwa Wimbi daaah ... Ndio maana nkasema naachana na tungi nabaki na Mneli... Take it from mkeSana
Mwambie kuchapiwa ni kawaida hata kama huna pisikali kina pasikali lazima wamle tu wakiamua.Jiamini bwanamdogo.
Ahahahaaaa nimelima shamba la miwa kijijini kwetu. Daahh nimekoma wanaiba mpaka usiku wa manane.Mchungaji daniel alishawaambia kama una moyo wa plastic usioe pisi kali. Kuoa pisi kali au kuolewa na handsam boy ni sawa na kuanzisha shamba la miwa karibu na shule ya msingi.