Wengi wako shule sasa hivi, hivi bavicha hawasomi?

mwezi kama huu wanafunzi wako kwenye mtihani ( university examination) , sekondari wako madarasani , najiulize hao vijana Wa chadema bavicha hawasomi?? maana vijana 5000 siyo mchezo!!!kama hawasomi chadema itatuletea viongozi Wa namna gani??
Si ni walewale walioandaliwa na serikali ya ccm
 
Bavicha ni wale vijana ambao walifeli darasa mkashindwa kuwaendeleza, ni wale Form 4 ambao wamefeli kwa sababu ya mitaala mibaya, ukosefu wa walimu na mazingira mabaya ya kujifunzia, Bavicha ni vijana waliokosa mikopo ya kwenda vyuo, Bavicha ni vijana walio hitimu vyuo mbalimbali lakini hawana kazi, Bavicha ni vijana ambao wapo vyuoni na tarehe 20 wengi wao watakuwa wamemaliza mitihani.
 
khaaa!!Mkuu molembe kwa hiyo unataka kuniambia kuwa asilimia kuwa ya bavicha hawajasoma?? if so chama chako kimechukua hatua gani ?mfano kujenga sekondari au English medium schools!!!!maana nasikia kuna mbunge huko kaskazini alipoulizwa kama anajua kingeleza kasema hajui?umesoma sekondari kasema sikusoma!!
 
Bavicha ni wale vijana ambao walifeli darasa mkashindwa kuwaendeleza, ni wale Form 4 ambao wamefeli kwa sababu ya mitaala mibaya, ukosefu wa walimu na mazingira mabaya ya kujifunzia, Bavicha ni vijana waliokosa mikopo ya kwenda vyuo, Bavicha ni vijana walio hitimu vyuo mbalimbali lakini hawana kazi, Bavicha ni vijana ambao wapo vyuoni na tarehe 20 wengi wao watakuwa wamemaliza mitihani.
inaruhusiwa kabisa chadema kuwalipia ada
 
khaaa!!Mkuu molembe kwa hiyo unataka kuniambia kuwa asilimia kuwa ya bavicha hawajasoma?? if so chama chako kimechukua hatua gani ?mfano kujenga sekondari au English medium schools!!!!maana nasikia kuna mbunge huko kaskazini alipoulizwa kama anajua kingeleza kasema hajui?umesoma sekondari kasema sikusoma!!
English medium za nini wakati hiyo English inapanda kuliko wengine wenye DhP? Hao nadhani watakuwa walinyimwa fursa tuu lakini uwezo wanao maana lugha ya kujifunzia wanaijua.
Shida ni wale wasioijua wamesomaje?
 
Sasa afadhari na huyo asiyejua kiingereza. Wewe mbona hujui kiswahili? KiingeLEza ndo nini?

khaaa!!Mkuu molembe kwa hiyo unataka kuniambia kuwa asilimia kuwa ya bavicha hawajasoma?? if so chama chako kimechukua hatua gani ?mfano kujenga sekondari au English medium schools!!!!maana nasikia kuna mbunge huko kaskazini alipoulizwa kama anajua kingeleza kasema hajui?umesoma sekondari kasema sikusoma!!
 
Back
Top Bottom