Elections 2010 Wengi wa wanafunzi wa vyuo vikuu kutopiga kura 2010

Ccm inajua kuwa katika taasisi za vyuo vikuu hawana mtaji. Wameamua kuwatawanya ili kwamba kama wanafunzi walijiandikisha wakiwa chuoni basi hawatapiga kura.hii yote ni janja ya ccm tu.
Lakini nafikiri ni vyema sasa wasomi hawa wakapeleka elimu kwa wanakijiji kuhusiana na hali halisi ya maisha ya mtanzania wa leo.fikra pevu na zenye kuzaa matunda,fikra endelevu.ni wajibu wetu kufanya haya.
Umesema sawa. Hili la wanafunzi wa vyuo vikuu kunyimwa haki yao ya kupiga kura inaweza ikatymiwa kama fursa ya wao kuwahamasisha wapiga kura waliopo katika sehemu wanazoishi kwa kuwaonyesha hadaa za ccm na kuwahamasisha jamaa zao kupiga kura kwa busara.
 
Asante BWAXY,
Watanzania tunaamini eti nchi yetu ni ya kidemokrasia...Siwezi kuamini katika hili...hawa watu wawe na aibu...hasira ya watu inajikusanya kama vile bomu lililotegwa...itakapolipuka patakuwa hapatoshi...
 
Ccm inajua kuwa katika taasisi za vyuo vikuu hawana mtaji. Wameamua kuwatawanya ili kwamba kama wanafunzi walijiandikisha wakiwa chuoni basi hawatapiga kura.hii yote ni janja ya ccm tu.
Lakini nafikiri ni vyema sasa wasomi hawa wakapeleka elimu kwa wanakijiji kuhusiana na hali halisi ya maisha ya mtanzania wa leo.fikra pevu na zenye kuzaa matunda,fikra endelevu.ni wajibu wetu kufanya haya.

Huu ndi ukweli wenyewe. wengi wa wanavyuo hawatapiga kura sababu wakati wa kupiga kura hawatakuwa kwenye maeneo yale waliojiandikishia. Ila hii isiwe sabb ya wanvyuo kushindwa kushiriki kwenye uchaguzi, wawaelimishe wanavijiji kule waliko. na wale waio jirani kama Mogoro na dar au kama mwanza na kagera ikibidi wasafiri kuhakikisha wanapiga kura huu ndo uzalendo halisi. Maana sina uhakika kama serikali hii itakuwa na hela za kuwalipia kwenye muhula ujao sbb hiyo bodi ya mikopo iko hoehae
 
Sababu za msingi hapa ni zipi? Tujadili

NAONA WANATAKA WANAFUNZI WAISIPIGE KURA.
SASA HAWA WANAFUNZI WAFANYE KAZI MOJA TU KUENEZA INJILI YA CHADEMA NCHI NZIMA KILA MMOJA KWA NAMNA YAKE NA UWEZO WAKE. ILI WAPATE MABADILIKO YA KWELI


Knowledge talks, wisdom listens.
 
Ndugu zangu;

tuliwavumbika ccm wakiwa wabichi, tukajisahau wakaiva kupitiliza. Tukiendelea kujifanya mabingwa wa kuvumbika watazidi kutuozea mikononi tunuke wote. Ccm imeoza jamani hivi hatuoni,hatusikii na kufikiria pia?
 
Ndugu zangu;

tuliwavumbika ccm wakiwa wabichi, tukajisahau wakaiva kupitiliza. Tukiendelea kujifanya mabingwa wa kuvumbika watazidi kutuozea mikononi tunuke wote. Ccm imeoza jamani hivi hatuoni,hatusikii na kufikiria pia?

Ni kweli mkuu ila mwisho wake utakuwa mbaya sana. Maana hasira ya umma nayo inakomaa taratibu
 
NAONA WANATAKA WANAFUNZI WAISIPIGE KURA.
SASA HAWA WANAFUNZI WAFANYE KAZI MOJA TU KUENEZA INJILI YA CHADEMA NCHI NZIMA KILA MMOJA KWA NAMNA YAKE NA UWEZO WAKE. ILI WAPATE MABADILIKO YA KWELI


Knowledge talks, wisdom listens.

Umesema kweli mkuu lakini unafikiri itakuwa na nguvu kama wangeachiwa uhuru wao kikatiba wakapiga kura?
 
Wamezoea usanii mtupu kiasi kwamba bila ya kuwa na ngoma, taarabu na komba wao nyuma hawawezi kufanya kampeni
 
hiyo pia ni bomba watasaidia kuelimisha wananchi juu ya udhalimu wa ccm.......safi sana hiyo imekaa vizuri zaidi
 
Lakini nasikia serikali (bodi ya mikopo)haina hela kwa sasa kuwakopesha wanafunzi na kuendesha shughuli zote za vyuo
 
Nyie vipi???
Sio kwamba hakuna hela. Hela wanafanyia kampeni.
Kama nasema uongo mtu abishe hapa kwa hoja.
 
NARUDIA TENA
Nyie vipi???
Sio kwamba hakuna hela. Hela wanafanyia kampeni.
Kama nasema uongo mtu abishe hapa kwa hoja.
 
Kwanza kabisa nimefurahishwa na uamuzi muliouchukua wa kuikomalia serikali ihakikishwe mnapewa haki yenu ya kikatiba ya kupiga kura, mimi naamini siku zote vuguvugu la mapinduzi ya kuiondoa serikali ya kidhalimu madarakani kwa njia ya kidemokrasia huwa inaanzia vyuo vikuu.

Sababu kuu ikiwa ni kwamba wasomi huwa wanauelewa mkubwa jinsi nchi inavyoendeshwa kwa wakati huo, na huweza kutambua ndivyo sivyo kirahisi zaidi kutokana na uelewa mkubwa wa kuchambua mambo pamoja na kufanya ulinganishi wa utendaji kazi wa serikali za nchi zilizoendelea.

Dr. Wilbrod Silaa anahitaji kura ya 'NDIO' kutoka kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu vya umma na vya private pia, na sababu zipo kama zilivoainishwa hapo chini:


  1. Mfumo wa sasa wa utoaji mikopo kwa wanafunzi unahitaji marekebisho, tunahitaji mfumo utakaozingatia mahitajia haliasia ya mwanafunzi. Na hivo kutoa fursa kwa wanafunzi wasio nauwezo ( walio wengi ndani ya taifa letu ) kunufaika kwa kupata elimu ya juu ambayo ni haki yao.
  2. Board ya mikopo inahitaji restructuring ili iwe na ufanisi katika utendaji kazi, kwani wanafunzi wanahitaji pesa zao za kujikimu ziwafikie kwa muda muafaka wawapo vyuoni na mafunzoni. Tofauti na sasa ambapo wanafunzi wengi wanateseka na kuishia ombaomba ati sababu board haina pesa, wengine wanaishiwa kupewa pesa baada ya semester kuisha. Hapa tusitegemee kutoa wasomi waliobobea.....elimu ya juu inahitaji investment ya kutosha sio lele mama tu!!!
  3. Board ya mikopo inahitaji kuwa na strategy endelevu kwenye loans recovery, tofauti na sasa hatuoni efforts zozote zinazofanywa na board ya mikopo katika kudai wale waliokwisha neemeka na mikopo. Mimi nikiwa ni mmoja wapo! na ninatamani nilipe mkopo wote ili wadogo zangu nao waneemeke na hizi pesa.
  4. Tume ya vyuo vikuu (TCU) na aibu; anahitajika mtu makini sehemu hii pia aishauri serikali mikakati endelevu....na sio hawa wanaojiita ma-profesa wachumia tumboni! wanaowakosesha watanzania haki yao ya kujiunga na vyuo vikuu kutokana na makosa ya kiufundi ambayo inadhihirisha zaidi wamekurupuka. .....ati mtu anajisifu kwa kuanzisha online application portal ....huku akijua wazi hajatoa elimu ya kutosha kwa umma ni jinsi gani ina-work, hakuna facilities za kutosha kufanikisha...shame on you prof!!!!!!!! Naomba nieleweke kuwa sipingi teknolojia hii...lakini sio realistic kivile kwa mazingira mabovu ya Tanzania jamani.
Mwisho kabisa napenda kuwaambia wanafunzi wa vyuo vikuu, esp. university of Dodoma ya kwamba acheni "UNAFIKI" wa kujifanya mnapesa zilizowazidia hadi kumdhamini kikwete. Nani asiyejua mnawasumbua ndugu, wazazi, walezi au wafadhili wenu wengine wawatumie pesa ya kuwasukuma siku mbili tatu ati sababu board imechelewa kuwapa mikopo au wakati mwingine mnakuwa mmeishiwa kabla hata ya semester kuisha. Si vibaya kusaidiana, lakini sisi ndugu, wazazi wenu, walezi wenu, wafadhili wenu tuna hali ngumu sana ambayo mnaijua kutokana na gharama za maisha kupanda kila kukicha. Sasa sisi tunasema tumeamua mwaka huu hatumpi kura huyo JK wenu.....Tuone nani ni Msomi wa kweli......................sisi au ninyi!!!


2010 Hatudanganyiki
; KURA ZETU ZOTE ZA NDIO NI KWA Dr. WILBROAD SLAA






 
Jana nilisikiliza mdaharo wa wawakilishi wa vyuo vikuu, cha kushangaza wawakilishi wale hawakuwa na suluhisho la tatizo la iwapo watapata jibu hasi toka serikalini.Hawa ni wadogo zetu naona hawajafikiria vya kutosha inabidi tuwapige tafu juu ya cha nini kifanyike;
  1. Wasisubiri jibu la serikali tu lazima wachukue hatua zaidi kwa kupeleka nakala ya barua waliyoandika serikalini kwa WAFADHILI WANAOIPA JEURI SERIKALI FISADI
  2. Wapeleke nakala ya barua tume ya uchaguzi kwani wao ni kundi lililotengwa kwa makusudi na serikali na wakumbushe what is the past practices regarding voting procedure for college/varsity students.
  3. Bado wanaonekana waoga hawajatoka kifua mbele kama wasomi, warejee picha za zamani za enzi zetu wakati wa kudai haki.Wanalemba sanaaaaaa kiiiivo.
Nawasilisha
 
Hata watanzania wanaoishi nje ya nchi, hawatambuliwi kama ni raia wanaotakiwa kupiga kura! Wenye kujua kuhusu hili naomba watueleweshe kidogo!!
 
Haya ni matokeo ya kukaa kimya wakati walipotakiwa kupaza sauti. Walikuwa vyuoni wakasikia hizo habari kuwa vyuo vitafunguliwa Novemba zamani kweli wakakaa kimya. Hiyo hoja iliibuka ikakosa nguvu. Sasa unapokuwa na jamii ya wasomi wasioweza hata kujiorganize kucriticise jambo linalohusu haki yao ya msingi kama hilo, wanafaida gani? haya sasa serikali ndo imejibu jana kupitia yuyle mama wa tume kuwa hawana muda wa kurekebisha tena daftari la wapiga kura which I support! Vijana msitafute majina tu wala vyeo vya mezani. maisha ni harakati, ni mapambano hasa! haya sasa mko nyumbani likizo na wengi wenu ndo mko kwenye kampeni wengine waangalizi sijui, you dont even care to vote! mi mnaniuzi bwana kweli sisi hatukuwa hivi..tulijaribu na kufanikiwa kwa mengi sana tu ndo maana pia leo mko hapo!
shamaliza mie Ngomi bwana!!
 
Haya ni matokeo ya kukaa kimya wakati walipotakiwa kupaza sauti. Walikuwa vyuoni wakasikia hizo habari kuwa vyuo vitafunguliwa Novemba zamani kweli wakakaa kimya. Hiyo hoja iliibuka ikakosa nguvu. Sasa unapokuwa na jamii ya wasomi wasioweza hata kujiorganize kucriticise jambo linalohusu haki yao ya msingi kama hilo, wanafaida gani? haya sasa serikali ndo imejibu jana kupitia yuyle mama wa tume kuwa hawana muda wa kurekebisha tena daftari la wapiga kura which I support! Vijana msitafute majina tu wala vyeo vya mezani. maisha ni harakati, ni mapambano hasa! haya sasa mko nyumbani likizo na wengi wenu ndo mko kwenye kampeni wengine waangalizi sijui, you dont even care to vote! mi mnaniuzi bwana kweli sisi hatukuwa hivi..tulijaribu na kufanikiwa kwa mengi sana tu ndo maana pia leo mko hapo!shamaliza mie Ngomi bwana!!


Tatizo hawa wadogo zetu wanadhani mafanikio yanakuja kwa njia fire brigade strategies.Si hivyo lazima kupigwa virungu na kushinda njaa ndipo mambo yaeleweke.Nawashauri viongozi wao warudi wakasome files za serikali ya wanafunzi toka 1961 wakati walipofukuzwa na kurudishwa nyumbani kwa escort ya polisi .wanajua hilo??? lazima waijue historia
Mimi wamenikera kwa sababu wameshindwa kuilinda historia ya utetezi wa haki za msingi za msomi.Historia itawahukumu hawa na KIKOMBE HIKI HAWATAKIEPUKA kwa hakika.
 
Wanavyuo walikuwa zamani pamoja na kusomeshwa bure na serikali bado walikuwa tafu.Hawa wa leo wana mawazo sawa na ccm kwamba si wajibu wa serikali kuwasomesha bure.Hata mikopo nusunusu wanayopata wanaona ni hisani ya serikali.Mungu saidia kizazi hiki.
 
Back
Top Bottom