Kuna uthibitiisho kuwa mwaka huu vyuo vikuu vyote vitaanza mwaka wa masomo mpya mwezi wa kumi na moja soon after uchaguzi. wachambuzi wanasema hi ni janja ya CCM kuzuia wanachuo wasipige kura kwani wengi si wana CCM, na wengi wangepigia upinzani. wanajua fika wengi wamejiandikisha maeneo ya chuoni. jamani mbona wanawanyima watu haki ya kupiga kura? I hate being tanzanian and live here, am strugling to go and live abroad where life there make sense.
nasikitishwa na kauli ya kuchukia kuwa mtanzania na kufikiria kuwa mkimbizi katika mataifa ya wenzako.tambua hata mataifa ya unayotaka kwenda nao walikuwa na matatizo yao wakatafuta ufumbuzi na si kukimbia , mzalendo hawezi kukubali kuwa mkimbizi katika mataifa ya wengine. jawabu si kukimbia bali kutafuta ufumbuzi wa tatizo