mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
wana JF,
Ishu ya watu wengi kutamani sana wanawake wenye sura nzuri zenye mvuta au wenye maumbo mazuri yanayovutia uja baadaye kujuta kwa kutoridhishwa wanachokikuta wakati ameisha waoa au kukuta vitu tofauti ya walichotamani. Unaweza ukatamani wanawake wanaocheza show za kukatika mauno au wanawake wanaootembea kwa kunata au kwa malingo lakini yote kwa yote utaishia kwa yule anayeangaika kukutoa wazungu wakaisha wote hata ukafikia hatua ya kukooa kwa utamu baada ya tendo la ndoa, haijalishi ana sura nzuri au ana maungo mazuri ila anayeweza kukamua wazungu mpaka ukawa mwepesi.
Amini nakuambia wapo wanawake wana sura mbaya ila wamejaliwa kuwamudu wanaume kwa mapenzi. utakuta wanawake wenzie wanajiuliza kuwa uenda mwanamke yule anatumia dawa kuwanasa wanaume wa haja/wenye nacho kumbe kamjamaa kana mambo mnato na mashine ipo full joto masaa 24.
Hawa wanawake mara nyingi utafutwa jioni kwa kificho kwani mchana wengi hawataki kuoonekana nao kwa sababu ya sura zao. wakati mwingine wanaume huwaita kuku wa kienyeji au gusa unase. Wanawake wa aina hii wengi uwapata kwa wauza mboga mboga, wafanya usafi maofisini, wadada wa kazi, watembeza matunda, mama ntilie. unaweza ukakuta boss ana mwanamke mzuri kwa sura lakini yupo bize anatuma mesage za kuomba kukutana na hawa wauza mboga.
Utashangaa akikamatwa na mkewe jinsi anavyomtolea kashifa kumbe hajui kuwa kinachofuatwa ni mnato sio sura.
Ishu ya watu wengi kutamani sana wanawake wenye sura nzuri zenye mvuta au wenye maumbo mazuri yanayovutia uja baadaye kujuta kwa kutoridhishwa wanachokikuta wakati ameisha waoa au kukuta vitu tofauti ya walichotamani. Unaweza ukatamani wanawake wanaocheza show za kukatika mauno au wanawake wanaootembea kwa kunata au kwa malingo lakini yote kwa yote utaishia kwa yule anayeangaika kukutoa wazungu wakaisha wote hata ukafikia hatua ya kukooa kwa utamu baada ya tendo la ndoa, haijalishi ana sura nzuri au ana maungo mazuri ila anayeweza kukamua wazungu mpaka ukawa mwepesi.
Amini nakuambia wapo wanawake wana sura mbaya ila wamejaliwa kuwamudu wanaume kwa mapenzi. utakuta wanawake wenzie wanajiuliza kuwa uenda mwanamke yule anatumia dawa kuwanasa wanaume wa haja/wenye nacho kumbe kamjamaa kana mambo mnato na mashine ipo full joto masaa 24.
Hawa wanawake mara nyingi utafutwa jioni kwa kificho kwani mchana wengi hawataki kuoonekana nao kwa sababu ya sura zao. wakati mwingine wanaume huwaita kuku wa kienyeji au gusa unase. Wanawake wa aina hii wengi uwapata kwa wauza mboga mboga, wafanya usafi maofisini, wadada wa kazi, watembeza matunda, mama ntilie. unaweza ukakuta boss ana mwanamke mzuri kwa sura lakini yupo bize anatuma mesage za kuomba kukutana na hawa wauza mboga.
Utashangaa akikamatwa na mkewe jinsi anavyomtolea kashifa kumbe hajui kuwa kinachofuatwa ni mnato sio sura.