Wengi tunaishi kwenye ndoa kwa kuvumiliana tu

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,323
40,174
Kwa mtu aliyezoea kuchepuka hawezi kuacha hiyo tabia kirahisi, kwa sababu kwenye mahusiano kila mmoja huwa na sifa ya kipekee ambazo hazifanani na mwingine; kuna mwingine ni mchangamfu sana, mwingine anajua sarakasi za kila namna, mwingine ana ladha tofauti, wengine wanajua ku-handle n.k

Inapotokea ameolewa/amemuoa M, kasoro atakazokutana nazo kwa M zitamshawishi kukumbuka kule alikotoka, na hatimaye kuendelea ku-cheat huku akiwa na mke/mme.

Kitakachomfanya atulie sehemu moja sio kwamba umemzibiti, bali ni yeye mwenyewe aamue kuachana na yaliyopita na kuishi na wewe kwa kuvumiliana.

1642106289444.png
 
Nakataa, Sio Kweli...! Umezifanyia utafiti ndoa ngapi? NDOA NGAPI?

Achana na Wale hata NDOA hawajafunga , Wapo kwenye Yale Mahusiano ya Sogea Tuishi.....Roho zao bado hazijakata Shauri..Wapo Kwenye Uchumba Sugu..!

Asikwambie mtu Taasisi Ya Ndoa ni tamu kwa 'matured couple ever'..!
Vitoto vitoto ndo vinakuja huku na Changamoto Za Kitoto halafu Vina conclude Ndoa Kitu Kibaya ..nani Kasema.
Ndoa ndio Chimbuko la Watu Wenye Maadili, Chimbuko la Viongozi wenye integrity n.k.
Ukiona Upo Kwenye ndoa...halafu Unavumilia ...Tafakari Kwa Sana hiyo ndoa Yako..!!
 
Kwa mtu aliyezoea kuchepuka hawezi kuacha hiyo tabia kirahisi, kwa sababu kwenye mahusiano kila mmoja huwa na sifa ya kipekee ambazo hazifanani na mwingine; kuna mwingine ni mchangamfu sana, mwingine anajua sarakasi za kila namna, mwingine ana ladha tofauti, wengine wanajua ku-handle n.k

Inapotokea ameolewa/amemuoa M, kasoro atakazokutana nazo kwa M zitamshawishi kukumbuka kule alikotoka, na hatimaye kuendelea ku-cheat huku akiwa na mke/mme.

Kitakachomfanya atulie sehemu moja sio kwamba umemzibiti, bali ni yeye mwenyewe aamue kuachana na yaliyopita na kuishi na wewe kwa kuvumiliana.
Hatari sana hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom