Wengi kutimkia CCM kwanzia tarehe 24 July

lendomza

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
396
228
tarehe 23 July akipewa uenyekiti watu wengi watatimkia CCM Mpya iliyojaa uadilifu mkubwa!!sisi wote wenye mapenzi mema na taifa letu tujumuika kwa wingi!!!

Mungu mbariki Rais wetu ,Mungu ibariki Tanzania!!
 
tarehe 23 July akipewa uenyekiti watu wengi watatimkia CCM Mpya iliyojaa uadilifu mkubwa!!sisi wote wenye mapenzi mema na taifa letu tujumuika kwa wingi!!!

Mungu mbariki rais wetu ,Mungu ibariki Tanzania!!
bendera fuata upepo.
 
Ni kweli kabisa ni watu wengi wameonekana Dodoma wakishangilia kwa bashasha
1468956683021.jpg
 
Ulivyo muongo hadi kuandika unachapia hiyo ndo sifa ya muongo huwa hana kumbukumbu anaharaka ya kutaka kuaminika.
 
Magamba ya kuishia kiunoni au sijui mapacha watatu hiyo stori ndo tunaizika live
 
Back
Top Bottom