bendera fuata upepo.tarehe 23 July akipewa uenyekiti watu wengi watatimkia CCM Mpya iliyojaa uadilifu mkubwa!!sisi wote wenye mapenzi mema na taifa letu tujumuika kwa wingi!!!
Mungu mbariki rais wetu ,Mungu ibariki Tanzania!!
Ni kweli kabisa ni watu wengi wameonekana Dodoma wakishangilia kwa bashashaView attachment 367820
uongo gani tena Mzee!!!we subiri utaona!!Ulivyo muongo hadi kuandika unachapia hiyo ndo sifa ya muongo huwa hana kumbukumbu anaharaka ya kutaka kuaminika.