Wadau ni wazi kuwa watu wengi hawakujitokeza kupiga kura huko Igunga kwa kuogopa Bastora ya Rage na Maneno ya Mkama kuwa kuna makomandoo kutoka afghanistan,hata mimi sikwenda nilihofu mojawapo wa makomandoo wa CHADEMA anaweza kujitoa muhanga
walinunua shahada zao kwa kukubaliana nao (implied) soon after election watawarudishia shahada zao! eti wana pesa, so watanunua na si kuleta maendeleo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.