Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
mwana wa Tanzania, Wewe unafikiri kwanini Ali Bashir, Magufuli, Makonda, Profesa Majalala na Polepole huwa hawaeleweki mara moja wakiongea, hadi walazimike kila wakati kutolea ufafanuzi kuropoka kwao?
Maana yake Jamaa wanaoongoza dola kwa sasa ni Vilazer wa kutupwa
Maana yake Jamaa wanaoongoza dola kwa sasa ni Vilazer wa kutupwa