Kama ni Taarifa za bajeti ya Halmashauri , hii ni mapato ya vyanzo mbalimbali ,ruzuku na mishahara ya walimu na watumishi wa kada mbalimbali kwa mwaka.hiyo ni kwa 2021/2022, nafikiri ni fedha nyingi sana kwa halmashauri inayoendelea.....wengi nafikiri hatukulifikiria hili.
source: Star Tv (habari saa 2)
Yaani baada ya kulibaini kuwa hakuna ufafanuzi wa takwimu uliotolewa na mleta taarifa hii,kwani chanzo cha Taarifa huwa ni Taasisi yenye kuandaa au kumiliki hizo takwimu na wala sio chombo cha habari kama " starTV"!!!