Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Miaka ya 1960 baada ya uhuru mpaka miaka ya 1970 bidhaa za nyumbani kama mafuta ya kujipaka yalikuwa yanafungwa katika vifungashio vya glass.
Kuna wakati bidhaa za nje hazikuingia kabisa Tanzania. Tanga kulikuwa na kampuni ilitengeneza mafuta ya ngozi yalijulikana kama Asher’s Petrolium Jelly. Huwezi kuyakinganisha na Vaseline lakini yalitufaa na yalizashalisha ajira.
Mafuta ya kula yalifungwa kwenye makopo.
Yaliuzwa kwenye maduka ya ushirika. Kila ushirika ulikuwa na duka lake. Ushirika wa wazee, wakina mama, walimu nk. Bidhaa ziliratibiwa na RTC ambako pia mauzo yalifanyika.
Ni baada ya milango ya biashara kufunguliwa awamu ya pili ndiyo tulianza kuzoea vitu kuwepo kwenye maduka ya watu binafsi bila kibali.
Kuna wakati bidhaa za nje hazikuingia kabisa Tanzania. Tanga kulikuwa na kampuni ilitengeneza mafuta ya ngozi yalijulikana kama Asher’s Petrolium Jelly. Huwezi kuyakinganisha na Vaseline lakini yalitufaa na yalizashalisha ajira.
Mafuta ya kula yalifungwa kwenye makopo.
Yaliuzwa kwenye maduka ya ushirika. Kila ushirika ulikuwa na duka lake. Ushirika wa wazee, wakina mama, walimu nk. Bidhaa ziliratibiwa na RTC ambako pia mauzo yalifanyika.
Ni baada ya milango ya biashara kufunguliwa awamu ya pili ndiyo tulianza kuzoea vitu kuwepo kwenye maduka ya watu binafsi bila kibali.