Wengart katika kashfa ya bangi

MzeePunch

JF-Expert Member
Jun 8, 2009
1,412
203
Thread hii iliwekwa humu masaa machache yaliyopita lakini ikaondolewa bila maelezo yoyote. Kwa nini tunataka kutetea uhalifu? Picha hizi hapa chini zinaonyesha gari la Wengart Windrose Safaris likiwa limekamatwa huko Arusha baada ya kukutwa na shehena ya bangi. Hii ndio biashara ambayo wanaifanya huko kwenye vitalu vya uwindaji wanavyoving'ang'ania na kupuuza amri za serikali
 

Attachments

  • IMG-20150325-WA0007.JPG
    IMG-20150325-WA0007.JPG
    145.5 KB · Views: 42
  • Wengert Bangi5.jpg
    Wengert Bangi5.jpg
    142 KB · Views: 49
  • IMG-20150325-WA0002.JPG
    IMG-20150325-WA0002.JPG
    127.7 KB · Views: 46
Tunataka kuona justice katika suala hili. Hiyo shehena ya bangi ni kubwa sana.
 
Wachaneni na majani Mungu aliyaumba, yana tofauti gani na tumbaku, tena tumbaku harmful mara mia zaidi.
PUMBAVU
 
Thread hii iliwekwa humu masaa machache yaliyopita lakini ikaondolewa bila maelezo yoyote. Kwa nini tunataka kutetea uhalifu? Picha hizi hapa chini zinaonyesha gari la Wengart Windrose Safaris likiwa limekamatwa huko Arusha baada ya kukutwa na shehena ya bangi. Hii ndio biashara ambayo wanaifanya huko kwenye vitalu vya uwindaji wanavyoving'ang'ania na kupuuza amri za serikali
Usihofu mdau huu utawala ni wa sheria hakuna kibovu kitakachoachwa amini hivyo
 
Back
Top Bottom