Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Bint Mlimbwende Wema Sepetu amezungumza hayo.Yeye na Chibu wamekuwa na wameona bora waweke tofauti zao kando, kwa sasa ni mtu na Boss wake, Wema atakuwa na kipindi Wasafi Tv. Ngoja tuone kama kazi itafanyika, naanza kuliona anguko la Wasafi Tv.