Hahaha Paganism mpito miaka 60? Mtafika lini huko mwendako? Mpaka Yesu arudi?Nimeona kuna kila dalili zote za Wema Sepetu kwenda CHADEMA... Wema nimekuwa fan wako kwa muda mrefu sana, nakupenda sana na hata ningependa uwe mke wangu sema ndio hivyo tu.... Naomba nikupe ushauri wangu tafadhali usiende Chadema. Pamoja na matatizo ya utawala huu CCM bado ni chama kikongwe na bado kuna fursa kwako ndani ya CCM kuliko CHADEMA
Hichi ni kipindi cha mpito, 2025 mambo yatakuwa sawa Madame. Tafadhali sana, nakijua CHADEMA, nakijua CCM. Usichague kwenda CHADEMA na kuacha CCM.... Makonda amekuja na ataondoka na atakiacha CCM. Wako wapi wakina Mulongi, wakina Nyalandu.
Vuta subira Mamaa, nakupenda sana. Usiondoke CCM... Mimi ni mkosoaji mkubwa sana wa CCM kwa sasa, ila siwezi kuondoka bali navuta muda 2025 nijipange tena
Biashara anayo fanya ni ya misimu! Kama ua linavyo chanua na kusinyaa!Angekuwa hana effect yule mama Suluhu Hassan asingezunguka naye kwenye kampeni nzima akimtumia Wema Sepetu kama main striker wake, pamoja na madudu ya Wema Sepetu but usiundermine influence yake
Na hiyo naionaWema lazima afungwe tu Subirini MUONE
HahahahaNaanza kuamini kuwa mlimbwende Wema alidanganya umri kwa wenzake akina Lowassa ujana wamekula CCM halafu uzee wao wameenda kumalizia CDM, namuona Wema akienda kumalizia uzee wake CDM.
"Eti ameshindwa kumtoa Zari kwa Mond ataweza kumtoa Msukuma magogoni..."
Hoja ya kitoto sana hii,any way endelea kuumia moyo tuSitashangaa CHADEMA wakimpokea kaoge baada ya kumalizana na kigwangala kisa anafollowers wengi instagram na facebook, siasa za bongo full comedy.
Povu lote la nini sasa?mtabaki wasukuma tu hukoWaliondoka kina lowasa, kigunge, sumaye iwe huyo wema sepetu.....who is wema mbele ya ccm
Kwa hiyo kama umemwaga damu (sijui damu ya nini) basi watu wengine hawatakiwi kuingia? Acha ubinafsi weweWho is Sepetu by the way? Hana political effect hata kidogo. Hana chochote kwenye uringo wa siasa labda huko fb na akina dangote sijui diamond whatever comes froth! Ni kosa kubwa sana kumpokea Wema ndani ya Chadema. Alikokuwa ameona kuwaka moto hamna wa kumsaidia anaamua kuja chadema kiurahisi hivi. Nooo watu wamemwaga damu kuikijenga chama siyo kubana pua. Km anakuja awe mwanachama wa kawaida ila siyo kwa maonesho km haya. Hakika chadema wakifanya maonesho ya kumvuna Wema mi sitakuwa mwanachadema tena
... Hii nimeipenda, yaani huwezi kuwazia hesabu ya 2025 bila kujua mwelekeo wa hesabu ya 2017, this is simple logic.Unapiga hesabu za 2025 leo? Unajua ya kesho?
.... Waweza kuta huna hata kadi ya CCM, but kelele nyingiiiWaliondoka kina lowasa, kigunge, sumaye iwe huyo wema sepetu.....who is wema mbele ya ccm
Naanza kuamini kuwa mlimbwende Wema alidanganya umri kwa wenzake akina Lowassa ujana wamekula CCM halafu uzee wao wameenda kumalizia CDM, namuona Wema akienda kumalizia uzee wake CDM.
"Eti ameshindwa kumtoa Zari kwa Mond ataweza kumtoa Msukuma magogoni..."