screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Angekuwa hana effect yule mama Suluhu Hassan asingezunguka naye kwenye kampeni nzima akimtumia Wema Sepetu kama main striker wake, pamoja na madudu ya Wema Sepetu but usiundermine influence yakeWho is Sepetu by the way? Hana political effect hata kidogo. Hana chochote kwenye uringo wa siasa labda huko fb na akina dangote sijui diamond whatever comes froth! Ni kosa kubwa sana kumpokea Wema ndani ya Chadema. Alikokuwa ameona kuwaka moto hamna wa kumsaidia anaamua kuja chadema kiurahisi hivi. Nooo watu wamemwaga damu kuikijenga chama siyo kubana pua. Km anakuja awe mwanachama wa kawaida ila siyo kwa maonesho km haya. Hakika chadema wakifanya maonesho ya kumvuna Wema mi sitakuwa mwanachadema tena