Wema Sepetu kuhudhuria Birthday ya Tiffa wa Diamond?

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
643
844
Asalam aleikum.
Najua kichwa cha habari kimewashtua watu wengi sana wale wanaopenda mafanikio ya wasanii wetu na wale wasiopenda maendeleo(wale wapenda bifu).

Hivi majuzi baada ya Diamond kuukata mzizi wa fitna na kuonesha moyo wa kiuungwana kwa kumpost x wake na kuwafanya watu kufahamu kuwa bifu ni nzuri kwa sambusa tuu na sio kuifanya kama maisha yako.

Mwanadada sepenga nae akajibu kwa kusema kuwa amefurah kuona kuwa Sasa wanasapotiana kwa maana yeye binafsi anampenda sana diamond kama msanii na alikuwa akiishi maisha ya kuigiza na kujidai kuwa hampendi mondi lakin kiuhalisia anamkubali sana bwana matuzo na watu waligeuza bifu hilo kuwa mtaji wa kuongeza followers kule instagram.

So kwa msimamo huu walioonesha napenda kubashiri kwamba yawezekana kabisa "WEMA SEPETU KUHUDHURIA BIRTHDAY YA TIFFA WA DIAMOND" Kama akialikwa

Haya sasa usisahau kunifolo kule insta @mckonje au nipate kwa #mckonjetv
 
Asalam aleikum.
Najua kichwa cha habari kimewashtua watu wengi sana wale wanaopenda mafanikio ya wasanii wetu na wale wasiopenda maendeleo(wale wapenda bifu).

Hivi majuzi baada ya Diamond kuukata mzizi wa fitna na kuonesha moyo wa kiuungwana kwa kumpost x wake na kuwafanya watu kufahamu kuwa bifu ni nzuri kwa sambusa tuu na sio kuifanya kama maisha yako.

Mwanadada sepenga nae akajibu kwa kusema kuwa amefurah kuona kuwa Sasa wanasapotiana kwa maana yeye binafsi anampenda sana diamond kama msanii na alikuwa akiishi maisha ya kuigiza na kujidai kuwa hampendi mondi lakin kiuhalisia anamkubali sana bwana matuzo na watu waligeuza bifu hilo kuwa mtaji wa kuongeza followers kule instagram.

So kwa msimamo huu walioonesha napenda kubashiri kwamba yawezekana kabisa "WEMA SEPETU KUHUDHURIA BIRTHDAY YA TIFFA WA DIAMOND" Kama akialikwa

Haya sasa usisahau kunifolo kule insta @mckonje au nipate kwa #mckonjetv

Aende wapi? umesahau alipokuwa anamtukana mama yake Diamond.
Aende kwenye sherehe zingine wanaume ni wengi hapo Dar wenye watoto.
She should get a life far away from Diamond, supporting each other in business is a part of life for celebs.
 
Nachoona ni Wema kuanza kurudisha majeshi taratibu kwa Diamond. Ila mimi napenda kumuona Dai na Zari zaidi kuliko huyo Wema though mapenzi ni maamuzi ya wawili.
Kibiashara Mondi atafaidika sana na hilo bt atapoteza familia
 
Wema njaa inamdhalilisha,Range Rover imeuzwa anatapatapa,ameshamaliza wanaume,si ni yeye alimuacha Diamond kwa mbwembwe zote,na pati alifanya,sasa anajisemesha kutafuta nini tena
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom