Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Hivi karibuni tumesikia Nguli wa filamu za kitanzania, Former Miss Tanzania Wema Sepetu akitangaza nia ya kuchukua fomu kwaajili ya kuwawakilisha wananchi kupitia viti maalum Singida.
Sitaki niwe judgmental au kufuatilia mambo yake binafsi na kuyahusisha na siasa, lakini wengi tungependa kujua, je nia hiyo ni ya ndani ya moyo, kutaka kuwatumikia wananchi, au ni muendelezo wa beef na mpenzi wake wa zamani star wa bongofleva diamond, kumuonesha kwamba na yeye bado yupo na anaweza kufanya jambo kubwa.
Je ni sahihi kutumia mgongo wa wananchi na followers wako kwa ajili ya personal satisfaction inayotokana na beef la kimapenzi na star mwenzake??
Nadhani wananchi wa Singida wanahaki ya kupata uwakilishi unaotokana na nia ya dhati kabisa, kuliko kua victcims na kutumika kama mgongo wa kuwapa relief watu.
Kama nakosea Wema nisahihishe.
Sitaki niwe judgmental au kufuatilia mambo yake binafsi na kuyahusisha na siasa, lakini wengi tungependa kujua, je nia hiyo ni ya ndani ya moyo, kutaka kuwatumikia wananchi, au ni muendelezo wa beef na mpenzi wake wa zamani star wa bongofleva diamond, kumuonesha kwamba na yeye bado yupo na anaweza kufanya jambo kubwa.
Je ni sahihi kutumia mgongo wa wananchi na followers wako kwa ajili ya personal satisfaction inayotokana na beef la kimapenzi na star mwenzake??
Nadhani wananchi wa Singida wanahaki ya kupata uwakilishi unaotokana na nia ya dhati kabisa, kuliko kua victcims na kutumika kama mgongo wa kuwapa relief watu.
Kama nakosea Wema nisahihishe.