Msingi_Kiuno
Member
- Feb 22, 2017
- 86
- 123
- Thread starter
- #61
But the world has never been fair...Siwaelew CDM kwa hili. Naona kama kuna ka ubaguz fulan
But the world has never been fair...Siwaelew CDM kwa hili. Naona kama kuna ka ubaguz fulan
Wema si alishatambulishwa? Lema wapo mahakani saa hz, mboe wakasimama nae court, lisu wanae kortin, lowasa wakasimama nae kwa kuitwa fisadi, mbona Mhere? Mm hapo tu ndo siwaelewBut the world has never been fair...
hawajampa uzito anaostahili....Wema si alishatambulishwa? Lema wapo mahakani saa hz, mboe wakasimama nae court, lisu wanae kortin, lowasa wakasimama nae kwa kuitwa fisadi, mbona Mhere? Mm hapo tu ndo siwaelew
Ndo pointi yanguhawajampa uzito anaostahili....
hizi siasa za kibongo ni za kibinafsi sana, na ni za hataree sana kwa watu wasio na maslahi ya moja kwa moja kwa viongozi wa juu ya chama...Ndo pointi yangu
Namna mpya ya kufanya mikutano ya kisiasa ni mahakamani na sherehe nkHabari ya muda huu wazalendo wote wa nchi yetu pendwa Tanzania....
kwa mujibu wa gazeti la Tanzania daima la leo, imeripotiwa kuwa CDM imepanga na inajiandaa kumfanyia sherehe kada wao mpya na mlimbwende (miss Tanzania 2006) bi Wema Sepetu.
Inadaiwa kuwa mlimbwende huyo anatarajia kuvuta wafuasi wake zaidi ya mia tano CDM.
Umuhimu wa sherehe hiyo ni nini katika harakati za kujenga chama na kuhakikisha ustawi bora wa Jamii ya watanzania?
Nawasilisha.
Unajua ndo maana wanashindwa saa zngne. Maana fisiem wanaweza kusimamia kigezo cha wao ni chama cha wananchi ila CDM ni cha kikanda. Sababu ndogo ndogo tuhizi siasa za kibongo ni za kibinafsi sana, na ni za hataree sana kwa watu wasio na maslahi ya moja kwa moja kwa viongozi wa juu ya chama...
uko sahihi... japo factors za kushindwa ni nyingi zaidi ya hizoUnajua ndo maana wanashindwa saa zngne. Maana fisiem wanaweza kusimamia kigezo cha wao ni chama cha wananchi ila CDM ni cha kikanda. Sababu ndogo ndogo tu
Wachukue kila k2 kwa uzito unaostahili ili kumuaminisha bibi angu hata nikimconvice kuwa CDM nisitumie nguvu nynguko sahihi... japo factors za kushindwa ni nyingi zaidi ya hizo
Unahisi?? Endelea tu kuhisi kamanda......nahisi ni kama wana lengo la kutangaza chama maana wamebanwa mikutano and the like
Mkuu landa haujanielewa.nimekuelewa kwenye kujenga chama... sherehe ipo kimkakati kukitangaza chama kupitia njia mbalimbali uhabarishaji.....
mapato ya chama vs sherehe gharama haviwezi kuendana kitija aisee... sherehe itakula pakubwa zaidi.
Kasome masomo ya biashara ndio utajua umuhimu wa hiyo sherehe. Naunga mkono hoja ndio maana naipenda CDM.Habari ya muda huu wazalendo wote wa nchi yetu pendwa Tanzania....
kwa mujibu wa gazeti la Tanzania daima la leo, imeripotiwa kuwa CDM imepanga na inajiandaa kumfanyia sherehe kada wao mpya na mlimbwende (miss Tanzania 2006) bi Wema Sepetu.
Inadaiwa kuwa mlimbwende huyo anatarajia kuvuta wafuasi wake zaidi ya mia tano CDM.
Umuhimu wa sherehe hiyo ni nini katika harakati za kujenga chama na kuhakikisha ustawi bora wa Jamii ya watanzania?
Nawasilisha.
Daaah... haya nitasoma nikihitimu ninayosoma sasaKasome masomo ya biashara ndio utajua umuhimu wa hiyo sherehe. Naunga mkono hoja ndio maana naipenda CDM.
Nikupe mfano tu hata business card inatangaza biashara sembuse sherehe ? hiyo haina tofauti na Promotion nisiendelee nisije kuamsha walio lala.Daaah... haya nitasoma nikihitimu ninayosoma sasa
Ruzuku inatokana na kodi ya wananchi inatumika hivyo sana!!
Kweli CDM wako morally bankrupt. Anayefanyiwa sherehe ni nani hasa,Wema Sepetu?Dah!
Mkuu kwa anavyopenda sifa angekuwa na vyeti angeshaita waandishi vyeti hana amini hill kakaHivi inawezekana mkuu wa Mkoa akateuliwa mtu aliye foji vyeti? mimi siamini, nafahamu nafasi kubwa kama hizo kabla ya uteuzi inafanyika Vetting, kama walimteua bila kumfanyia vetting nitaanza kushawishika kuamini ule uvumi kwamba tumekua tukikurupuka katika maamuzi makubwa ya nchi yetu
Ila ni kweli (amini ukweli una uma tena sana)Mkuu kwa anavyopenda sifa angekuwa na vyeti angeshaita waandishi vyeti hana amini hill kaka