Msingi_Kiuno
Member
- Feb 22, 2017
- 86
- 123
- Thread starter
- #41
nimekuelewa kwenye kujenga chama... sherehe ipo kimkakati kukitangaza chama kupitia njia mbalimbali uhabarishaji.....Hiyo ni moja wapo ya ujenzi wa chama kwa kupata wanacha 500 kwa wakati mmoja ni moja wapo ya kukijenga na kuimarisha chama.
Na kumbuka kwa wakati huu nafasi ni finyu sana katika ujenzi wa chama kutokana na mazingira ya chama yalivyo kwa sasa kwa kuwa mikutano imepigwa marufuku,viongozi wa chama kufungwa ovyoo bila ya sababu za msingi,kuingiliwa na jeshi la polisi katika mikutano ya chama ata baadhi mingine ni zile za ndani na taasisi za chama pia.
Nataka kukumbusha kuwa ujenzi na kuimarisha chama ni wanachama. Nikimaanishi ni mkakati moja wapo katika kuongeza wanachama wengi zaidi.
Hapo kuna mapato chama kinapata pia katika ada za uanachama kupitia hao wanachama wapya.
Ninaamini cdm wapo kimkakati hawajawahi kukurupuka kila kitu wanafanya kwa uangalifu zaidi kwa maslahi ya chama.
mapato ya chama vs sherehe gharama haviwezi kuendana kitija aisee... sherehe itakula pakubwa zaidi.