Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Kwani kabla la sakata hilo, Wema alikuwa akiishi na mama yake?Yaani mama yake anamsihi aingie ndani ya gari ili ampeleke home ..ila bado Wema anang'ang'ania yule jamaa??? tena mbele ya wazazI????
Mengine aibu mno!!
Au anakula unga??