TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
Wema Sepetu ni mmoja kati ya wasanii wakali wa filamu ninayempenda kutokana na jinsi anavyoigiza.
Kutokana na hali hiyo nilimfuatilia kupitia ukurasa wake wa f/b hatimaye tukafahamiana.
Wema ni mcheshi na mkarimu;kwa muda wa miezi kumi tangu nifahamiane naye tumefanyiana mema mengi,lkn mara hii kazua mpya;ananitaka niwe mpenzi wake wa siri na tayari amenipa pete eti ya uchumba bubu.Anajua wazi kuwa nina mchumba ambaye tunatarajia kuoana mapema mwezi wa pili lkn yeye ananibembeleza tuwe tunalalana;natamani nikubali kum-do japo kwa mara moja lkn namwogopa kwa sbb simwamini kiafya ukizingatia ametembea na watu kibao wakiwemo kanumba na diamond,nachelea afya yangu.
Nimfanyeje rafiki yangu huyu? msaada tafadhali.
Kutokana na hali hiyo nilimfuatilia kupitia ukurasa wake wa f/b hatimaye tukafahamiana.
Wema ni mcheshi na mkarimu;kwa muda wa miezi kumi tangu nifahamiane naye tumefanyiana mema mengi,lkn mara hii kazua mpya;ananitaka niwe mpenzi wake wa siri na tayari amenipa pete eti ya uchumba bubu.Anajua wazi kuwa nina mchumba ambaye tunatarajia kuoana mapema mwezi wa pili lkn yeye ananibembeleza tuwe tunalalana;natamani nikubali kum-do japo kwa mara moja lkn namwogopa kwa sbb simwamini kiafya ukizingatia ametembea na watu kibao wakiwemo kanumba na diamond,nachelea afya yangu.
Nimfanyeje rafiki yangu huyu? msaada tafadhali.