irk
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 486
- 388
Habari wapendwa..
Kwa taarifa nilizozinyaka hivi karibuni hukooo Instagram ni kuwa kipenzi cha wengi ( najua wengi mtabisha) si mwingine mrembo wetu Miss TZ 2006 na CEO wa kampuni ya ENDLESS FAME the one & only WEMA ABRAHAM ISAC SEPETU anaolewa hivi karibuni na model anaekuja kwa spidi ya 4G CALISAH ABDULHAMID.
Though hawaja comfirm wenyewe kuhusiana na habari hii ila nimejiongeza tu mwenyewe baada ya kuzinyaka picha hizi...
.
Kwa msio mjua uyo shemela we2 mpya na wa kudumu huyu hapa..
.
Kama habari hizi ni za ukweli basi si vibaya wa JF tukiwa wakwanza kumpongeza na kumtakia kila la kheri katika safari hii.
Kwa taarifa nilizozinyaka hivi karibuni hukooo Instagram ni kuwa kipenzi cha wengi ( najua wengi mtabisha) si mwingine mrembo wetu Miss TZ 2006 na CEO wa kampuni ya ENDLESS FAME the one & only WEMA ABRAHAM ISAC SEPETU anaolewa hivi karibuni na model anaekuja kwa spidi ya 4G CALISAH ABDULHAMID.
Though hawaja comfirm wenyewe kuhusiana na habari hii ila nimejiongeza tu mwenyewe baada ya kuzinyaka picha hizi...
Kwa msio mjua uyo shemela we2 mpya na wa kudumu huyu hapa..
Kama habari hizi ni za ukweli basi si vibaya wa JF tukiwa wakwanza kumpongeza na kumtakia kila la kheri katika safari hii.