Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
- Thread starter
- #41
"... kudaiwa sio dhambi, kwa nini usipokee simu kiungwana tu"Mimi nilimkopesha dada mmoja 150k, imepita miezi hajarudisha. Sasa hivi kaniblock simu zangu zote. Binadamu si wema kabisa. Kudaiwa sio dhambi kwa nini usipokee simu kiungwana tu.
Hilo ndilo la kuuliza, na kaku block kwa sababu ulikuwa unamsumbua sana au? Ni baada ya muda gani mlikubaliana atarudisha?
Pia ulijuaje kama ameku block?