Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Nina muda mrefu nilipotea jamvini, natumai ni wazima wote. Majukumu ni mengi sanaaaa, sanaaa na muda ni mfinyu.
Nina jamaa yangu yapata miezi minne sasa sijajua lengo lake. Huyu jamaa yangu ni mtumishi mzuri tu wa kanisa fulani la kiroho.
Amenikopa kiasi cha 900K na akaahidi baada ya week 1 atarudisha. Pamoja na kumsisitizia kuwa hela hiyo ni ya mwisho na sikuwa na akiba ya kutosha tena hivyo afanye kweli arudishe ndani ya muda, ila ameziba masikio na amesahau ahadi zake.
Mpaka dakika hii ana 2%, tu za uaminifu wa mimi kumkopesha tena akilipa deni hili.
Kubwa kuliko hapokei simu zangu, sasa huko makanisani wanahubiri nini hawa mamluki?
Ninapatwa na hasira as i continue writing this thread.
Really? Kutoka one week up to four months?
Halafu mbaya zaidi analipwa zaidi ya 3.5M kwa mwezi.
Ana maana gani ya kutojibu calls zangu?
Nafikiria kuchukua hatua zaidi, wema wangu naona unaniponza.
Nina jamaa yangu yapata miezi minne sasa sijajua lengo lake. Huyu jamaa yangu ni mtumishi mzuri tu wa kanisa fulani la kiroho.
Amenikopa kiasi cha 900K na akaahidi baada ya week 1 atarudisha. Pamoja na kumsisitizia kuwa hela hiyo ni ya mwisho na sikuwa na akiba ya kutosha tena hivyo afanye kweli arudishe ndani ya muda, ila ameziba masikio na amesahau ahadi zake.
Mpaka dakika hii ana 2%, tu za uaminifu wa mimi kumkopesha tena akilipa deni hili.
Kubwa kuliko hapokei simu zangu, sasa huko makanisani wanahubiri nini hawa mamluki?
Ninapatwa na hasira as i continue writing this thread.
Really? Kutoka one week up to four months?
Halafu mbaya zaidi analipwa zaidi ya 3.5M kwa mwezi.
Ana maana gani ya kutojibu calls zangu?
Nafikiria kuchukua hatua zaidi, wema wangu naona unaniponza.