Mmh kweli kwa jinsi ulivyo utawapa shida wazeeAsema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
Sikia hapo mwishoni huyo demu anasemajeHahahahha Dah aibu,Mbowe mlipeni Wema hela yake.,Maisha magumu.
Lumumba mmeona njia bora kupunguza kasi ya upinzani ni kumchafua Mbowe kwa vitu vya kipuuzi,mnatengeneza recording kwa kuigiza sauti!Hamna namna bora ya kujenga chama zaidi ya kutekeleza ilani na mliyowaahidi!Mapenzi ya Mwenyekiti wa chama na KUB sio jambo dogo
.mzushi acha uzushiHapa Mwenyekiti umetuangusha hiyo papuchi ya huyo binti ni bandika bandua Sasa Nini wewe kimekusibu ,Warembo wamejaa mjengoni kibao si ungechukua huko ona Sasa yametukuta
Ngoja siku umfume mkeo anafanya mapenzi na mume wa mtu halafu unapojaribu kumhoji akuambie hakutaki na aondoke kabisa nyumbani ndo utajua mapenzi hayana tijaMipumbavu hujadili mambo ya mapenzi yasiyo na tija kwao badala ya kujadili changamoto zao
Tutajuaje kama uliyeandika hapa ni wewe KakaJambazi. Haya tuendelee!Tutajuaje ka uyo anayeongea ni wema?
Demu mwenyewe kaigiza pia hapa: Sauti hiii ya nani?Sikia hapo mwishoni huyo demu anasemaje
Hahahahha Dah aibu,Mbowe mlipeni Wema hela yake.,Maisha magumu.
Mwigizaji mwenyewe huyu hapa: Sauti hiii ya nani?Nimeamini 90% ya watz na hata humu mpo ni wajinga hiyo sio sauti ya wema kuna demu kaigiza na kama uko makini kuna mda anapotea kabisa ile tone ya wema na mwishoni pale anasema steve mi nimechoka bana
Hao wenye nia ovu ndio wamemtuma amgegede Wema! How pathetic!Watu hawana akili kabisaaa ....... Huu mchezo hata tahira atajua hili ni movie la wenye nia ovu tena ya kuchafuana....