Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,333
Hahahaahahahahah!Bado mapema ngoma bado sana
Yaliyobaki manyoya ndugu hahaahahahahah
Hahahaahahahahah!Bado mapema ngoma bado sana
Mimi kuna wakati nawish niende Msoga kumuomba msamahaKikwete huyu mtu bhana , daah Mungu ampe maisha marefu Sana Sana ... Nilimchukia Sana by 2015 Ila Kwa sasa nimeona thamani yake kabisa kabisa.. sometimes huwa tunajifunza Kwa Gharama kubwa Sana
Hv a seat the gem is about to start....Hahahaahahahahah!
Yaliyobaki manyoya ndugu hahaahahahahah
Samia na kikwete ni ndugu mtoto wa mjomba mtoto wa shangazi...lao ni moja hao hiyo ya kusema "Samia na JPM ni kitu kimoja" ni kuwalaghai mazuzu.Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Kikwete ni kweli uongozi wake ulikuwa umelegea kidogo lakini alikuwa afdhali kuliko Magufuli. Nadhani Samia atarekebisha ya Kikwete na ya Magufuli na kuwa rais bora zaidi kuliko wote wawili.
Ngoma droo!!
Tupo tunaoamini mpaka Leo, kikwete hawezi kabisa kuifanya nchi ikaheshimika hata kidogo, afanyeafanyavyo,amebarikiwa tu kuwa na moyo wa kupuuza mambo, lakini kuiongozi ni zero kabisa
Siwezi kusahau kipindi chake, ilikuwa ni hovyo tu, hakuna la maana, la maana ni Kwa hao waliofaidika na safari zake
Ndio nini sasa umeandika we binti
Haya kaa kakae na mavi yako nyumbani-Magu.
We mama unataka kupanuliwa?-Magu.
Ningekua sijaoa ningeongeza mwanamke mweupe kama wewe-Magu.
Mikono juuMwendo wa mateka...."
CCM imetoka mbali; bila shaka nayo imebadilika sana!Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Hongera,nimependa sana komenti yakoKikwete huyu mtu bhana , daah Mungu ampe maisha marefu Sana Sana ... Nilimchukia Sana by 2015 Ila Kwa sasa nimeona thamani yake kabisa kabisa.. sometimes huwa tunajifunza Kwa Gharama kubwa Sana
Imenibidi nicheke kidogo, kwani hiyo 2015 tulikuwa kwenye chungu kile kile kwa pamoja.Kikwete huyu mtu bhana , daah Mungu ampe maisha marefu Sana Sana ... Nilimchukia Sana by 2015 Ila Kwa sasa nimeona thamani yake kabisa kabisa.. sometimes huwa tunajifunza Kwa Gharama kubwa Sana
JK katuletea chuma! Ova!Jakaya Kikwete sasa hivi tunaweza kusema is a seasoned politician.
Amepitia mengi, mazuri na mabaya.
Ingawaje urais wake watu walidiriki kumwita ati dhaifu, ndani ya hii miaka mitano wananchi wameona maana ya uvumilivu wa Kikwete.
Nampongeza sana Kikwete vile vile kwa kumpigia tafu Mama Samia, dhidi ya makundi hasi, mengine yakiwa na sura ya kikabila.
Sisi wana CCM long time tunashukuru kuwa sasa chama kinarudi kwa wenye chama ambao wengine ni waasisi.
Mimi kadi yangu ni ya 1977.
Waliingizwa watu ambao wengine wametoka vyama vya upinzani na kuwaacha makada halisi.
Hongera Jakaya Mrisho Kikwete.
Kinatoa checheeee!!JK katuletea chuma! Ova!
Na ni chuma kweli kweli!JK katuletea chuma! Ova!
Prof. Mwandosya alitoa hilo angalizo, akabezwa!BAADAE TUTARUDI TU KWENYE SIFA ZA MWANACHAMA AWEZAYE KUGOMBEA NAFASI NDANI YA CHAMA,HATUWEZI TU KUOKOTA WATU WASIOKIJUA CHAMA WALA ITIKADI ZAKE THEN TUKAWARUHUSU KIHOLELA KUSHIKA NAFASI NDANI YA CHAMA CHETU,REKODI YA MTU PAMOJA NA UTUMISHI WAKE NDANI YA CHAMA KWA NAFASI YOYOTE ILE AMBAYO MWANACHAMA ATAKUWA AMEITUMIKIA IKIWA NI PAMOJA NA UHAI WA UANACHAMA WAKE YAANI ASIWE MWANACHAMA MFU ASIYELIPIA KADI YAKE YA CHAMA HUYO ATAPEWA KIPAUMBELE LAKINI PIA REKODI HAPA NASISITIZA SANA MAANA REKODI NDIO UHALISIA WENYEWE WA KIUTENDAJI.
Chuma chakavu.Kikwete aliharibu kwa kutuletea "CHUMA".
CCM ni principles na imani ya misingi yake.CCM imetoka mbali; bila shaka nayo imebadilika sana!
Naona unaipa chapuo CCM ya Kikwete hapo, kwa hiyo naona ugumu sana kuamini kwamba kweli CCM uliyojiunga nayo 1977, ndiyo hiyo hiyo unayoishangilia sasa.
Usinielewe vibaya, sijakataa mabadiliko yanayoendana na nyakati tulizomo, lakini mabadiliko yanayoondoka kwenye misingi iliyokiasisi chama, sioni kuwa mabadiliko hayo ni kwa manufaa ya chama na watu wanaokitegemea chama hicho.
Nikupongeze kwa kuirudisha CCM yenu, lakini tafadhali usidai kwamba hiyo ndiyo CCM uliyojiunga nayo mwanzoni.