Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,236
- 33,828
Katika eneo ambalo CCM iko vizuri sana ni kwenye eneo la Propaganda.Ingawa hakuna jambo la maana ambalo CCM wanafanya kwa nchi yetu, lakini ni mafundi wa kutengeneza propaganda kuonesha kwamba chama chao kinatekeleza kila wanachoahidi na kuonesha kwamba vyote vinavyoshindikana ni kwa sababu vyama vingine vinazuia vitu hivyo kufanyika.
Kila wakati ni lazima lizushwe jambo nje ya mkondo Mkuu kuwatoa watu kwenye jambo la msingi la kitaifa. Bahati mbaya kabisa kwa sasa vyama vya upinzani kwenye eneo hilo wamekuwa ni dhaifu sana na kuachia shughuli hiyo ifanywe na wanaowaunga mkono mtandaoni.
Kila wakati ni lazima lizushwe jambo nje ya mkondo Mkuu kuwatoa watu kwenye jambo la msingi la kitaifa. Bahati mbaya kabisa kwa sasa vyama vya upinzani kwenye eneo hilo wamekuwa ni dhaifu sana na kuachia shughuli hiyo ifanywe na wanaowaunga mkono mtandaoni.