Welcome to the World of Philosophical Quotes (Misemo ya Kifalsafa)

So far so good
JamiiForums1890726184.jpg
 
Wise one lontor
Usipoteze siku yako kwa kuwekeza kwenye huzuni.Siku unayoanza kwa matatizo, mambo yako ovyo, huna kitu ndiyo siku unapaswa kuwa na furaha maishani mwako; kwasababu, pamoja na changamoto hizo, bado upo hai.Kumbuka, ukiishiwa kodi hujaishiwa dunia, ukiishiwa hela, hujaishiwa pumzi, ukiachwa na umpendaye hujaachwa na Moyo, macho, akili na kila kitu kilichokusaidia kumpata; hata dunia mlipokutania bado haijakuacha_
*Wewe jiamini, jisemee "mimi ni mshindi" pamoja na changamoto hizo bado unaye Roho Mtakatifu wa Mungu afanyaye kazi ndani mwako. Usijidharau.
Nice msg Lucas philipo. Thank you
 
Back
Top Bottom