Kuna jamaa wanajiita WEKEZA SACCOS LTD WAMETAPELI WATU SANA.
Jinsi wanavyofanya kuna saccoss inaitw WEZESHA MZAWA ipo ktk ofisi za GLOBAL PUBLISHER sinza wao WEZESHA MZAWA Ni halali wanatoa mikopo..sasa jamaa wa WEKEZA wanatumia address ya global publisher ukifika pale unaambiwa hao ni matapeli hawana ofisi hapa
Cha ajabu vyombo vya dola vipo kimya TCRA,POLISI
website ipo na wameipanga vizuri sana na pia wana namba ya tigopesa0712 203 791 utume pesa humo za akiba cha kushangaza imesajiliwa na tigo pesa kama wekeza saccos fund ukiwapigia TIGO wanasema hawajui au fika ofisini na watu wanaendelea kutapeliwa
TUNAOMBA MAMLAKA HUSIKA ZIFUATILIE SUALA HILI SIO KUKAMATA WANA SIASA TU
Jinsi wanavyofanya kuna saccoss inaitw WEZESHA MZAWA ipo ktk ofisi za GLOBAL PUBLISHER sinza wao WEZESHA MZAWA Ni halali wanatoa mikopo..sasa jamaa wa WEKEZA wanatumia address ya global publisher ukifika pale unaambiwa hao ni matapeli hawana ofisi hapa
Cha ajabu vyombo vya dola vipo kimya TCRA,POLISI
website ipo na wameipanga vizuri sana na pia wana namba ya tigopesa0712 203 791 utume pesa humo za akiba cha kushangaza imesajiliwa na tigo pesa kama wekeza saccos fund ukiwapigia TIGO wanasema hawajui au fika ofisini na watu wanaendelea kutapeliwa
TUNAOMBA MAMLAKA HUSIKA ZIFUATILIE SUALA HILI SIO KUKAMATA WANA SIASA TU