Wekeza pesa kidogo kidogo upate gari ya ndoto yako

Hawa waagiza magari wengi wao wezi na sababu kuu ni ujinga wa Watanzania.
Mtu anatumia smartphone ila anashindwa tafuta gari mtandaoni.

Hawa jamaa kama Crown ya 2004 GRS180 kuagiza hadi mkononi ni 10.5mil ila wao wanakuuzia kwa 14.5mil.

Wameongeza zaidi ya 4mil.

IST pia hivyo hivyo ukiiagiza inafika kwa 10mil na point wao wanaongeza 1 mil hadi 2.

Zaidi watakachofanya ni kuchezea speed o meter
Wewe ni Muongo....biashara ya IMPORT ZIPOM..SIO KILA MTU ANAYETAKA GARI KUAGIZA ANA SMART PHONE NA HATA AKIWA NAYO SI KILA MTU ANAJUA PROCEDURES ZOTE ZA KUAGIZA MAGARI NJE...NA KUAGIZA MAGARI SIO RAHIS KIHIVYO KWA KILA MTU...KAMA WEWE UNAWEZA SIO WOTE...AU UNATAKA ASIYEWEZA ASIAGIZE AU AKUFATE WEWE KILOCAL LOCAL TU ILI UMUAGIZIE? WATU WAMEKAA , WAKAPLAN, WAKASAJILI OFISI...WEWE UNALETA CRITICS ZISIZO NA MACHO.
KUHUSU KUONGEZA BEI SIO KWELI LABDA MIJITU YA MITAANI ...LKN MUAGIZAJI BORA HUJADILI KILA KITU NA MTEJA WAKE...WAKIFIKIA MUAFAKA WATAFANYA...NIJUAVYO MIMI MTEJA YEYOTE HUWA NA ASSUMPTION YA BEI YA BIDHAA ANAYOTAFUTA...SIO RAHIS KUAGIZA IST YA 10M KWA 12M , JAPO TUNAJUA BEI ZA IST AU GARI YOYOTE HAZIWEZI FANANA HATA KAMA NI AINA MOJA..SABABU KUNA ASPECTS NYINGI.

NIMESAIDIA KUWEKA SAWA...NIKIWA NI MMOJA WA WAAGIZAJI WA BIDHAA NJE.
 
Nimependa sana huduma yako, binafsi nina imani na nyie sana, kwakuwa nina ndugu yangu mshafanya nae bihashara mara mbili sasa.
Nitawatafuta hili niwekeze mdogo mdogo.
Ninyi mna anzisha mazingira ya kutapeli watu? Unataka kuingiza watu mkenge, hahaha
 
Ingekua vizuri mngekua mnampa mtu gari kwa mkataba au mnaiagiza kabisa inabaki yard kwenu akifikisha nusu au robotatu ya pesa mnamkabidhi gari kwa makubaliano maalumu.
Iyo mnayofanya kwamba mpaka pesa ikamike ndio mnaagiza gari ?
mimi kama businessman naelewa kwanini hawafanyi kama unavyotaka iwe.. sababu kubwa ni kuogopa mdaiwa kushindwa kumalizia deni uchumi wake ukiyumba halafu ukute gari ameshaichakaza. pili mdaiwa anaweza akapata ajali akafa yeye na hio gari. hakuna anaetaka kufanya biashara kichaa, yenye hasara, so wanajaribu kuepuka unnecessary risks kama hizo.
 
Do you pay Interest??

Utawezaje kukaa na pesa za watu bure bure ,
Kwann msifanye collaborations na Bank yoyote waandae product itayowawezesha watu kusave kwa ajili ya lengo hilo?

Kampuni yako ikifa kesho tutakupata wapi? Ama umewekwa utaratibu wa waliokua wakisave kupata fedha zao .
Maana hujalizingumzia hilo
 
Hawa waagiza magari wengi wao wezi na sababu kuu ni ujinga wa Watanzania.
Mtu anatumia smartphone ila anashindwa tafuta gari mtandaoni.

Hawa jamaa kama Crown ya 2004 GRS180 kuagiza hadi mkononi ni 10.5mil ila wao wanakuuzia kwa 14.5mil.

Wameongeza zaidi ya 4mil.

IST pia hivyo hivyo ukiiagiza inafika kwa 10mil na point wao wanaongeza 1 mil hadi 2.

Zaidi watakachofanya ni kuchezea speed o meter
Haha wazee wa chajuu Mimi Mbona naleta gari bila ya chajuu na nafuu kuliko sehemu yoyote Zanzibar na Tanzania
 
Habari ya Majukumu wana jukwaa?

Baada ya kupokea maoni kutoka kwa wadau wetu na wateja wetu mbali mbali, hatimae tumeamua kukubaliana na ombi la kuwekeza pesa kidogo kidogo kwa kati ya miezi 3- miezi 24 kwa anayehitaji kumiliki gari lakini hana pesa ya kulipia kwa pamoja.

Wajibu wa Mteja kwa huduma hii
1. Mteja anawajibika kusaini mkataba kwa ajili ya huduma hii
2. Mteja anatakiwa kua na shahidi ambae ni ndugu ambae tutatakiwa kumrejeshea kiasi kitakachokua kimewekwa iwapo mteja atafariki dunia kabla ya kukabidhiwa gari
3. Kutunza taarifa zake za kibenki kwa kipindi chote atakachokua akiwekeza

Wajibu wa Kampuni
1. Kuhifadhi pesa ya mteja mpaka itimie kama ilivyokusudiwa
2. Kumsaidia mteja kuchagua gari nzuri iliyo katika ubora na kumshauri kulingana na kipato chake
3. Kusaini mkataba wa makubaliano ya kupokea pesa za mteja kila mwezi mpaka zitakapotimia kwa dhumuni la kumuagizia gari

Faida za Huduma Hii kwa mteja

1. Itakulazimisha kutimiza ndoto yako ya kumiliki gari kwa kua utalazimika kupunguza matumizi mengine kwa mda ili utimize hili
2. Kujengewa nidhamu ya matumizi bora ya pesa yako na utaratibu wa kujiwekea vapaumbele
3. Hautahusika kuongeza pesa iwapo thamani ya dola itaongezeka


Usalama wa pesa yako
1. Kimomwe Motors ni Kampuni ya kitanzania iliyosajiliwa na inayofanya kazi kwa sheria za nchi yetu
2. Tunasaini mkataba wa kutunza pesa zako
3. Ndugu yako wa karibu atasaini mkataba kama mrithi wako na shahidi iwapo utafariki dunia kabla ya wakati sahihi
4. Hakutakua na gharama nyingine za ziada
5. Kimomwe Motors imedhamiria kua kampuni kubwa ya kwanza ya Kiafrika ya uagizaji wa magari kwa Africa Mashariki na kati ndani ya miaka michache ijayo hivyo usalama wa pesa ya mteja ni jambo la kwanza litakalotuwezesha kutimiza malengo hayo

N.B: KUHUSU KUSHUKA NA KUPANDA KWA DOLA
Iwapo dola itapanda au kushuka, mteja hatotakiwa kuongeza au kurejeshewa kiasi chochote kwa sababu tutatumia thamani ya dola wakati tunasaini mkataba

Kwa maelezo zaidi na ufafanuzi kuhudu huduma hii na nyinginezo waweza kutupigia sim namba 0746267740 au fika ofisini kwetu Magomeni Mapipa

KIMOMWE MOTORS: SAVE MONEY SAVE TIME

Mi mtu yeyote anayekunywa beer atunzi hela yangu, ikifika ijumaa saa 9 wanakuwa kama wamechanganyikiwa wanawaza beer tu!
 
Piga Kazi mkuu hata kama Kuna chaguu muhimu furaa pande mbili
Shukrani kwa maelezo na mawazo yako boss. Ila sijakupata vizuri hapo unamaanisha wezi ni wenye showrooms au sisi waagizaji?

Kama unatusema sisi waagizaji nataka kukupatia ushahidi wa Royal Saloon inafika kwa kiasi gani na Athlete inafika kwa kiasi gani na Ist pia. Halafu nawe utaweka ushahidi wa aliyewahi kuibiwa na hizi kampuni za uagizaji magari za kitanzania lengo likiwa ni kuhakikisha kila kitu kinakua sawa na watu hawaendelei kuibiwa.

Sisi kama waagizaji hatupangi bei na wala mteja hatolipa tunachosema sisi, bei inapangwa japan, sisi tunasaidia calculations, ushauri, tunabeba dhamana ua pesa ya mteja mpaka tunakabidhi gari.

Bei ya jumla tunayokua tunaisema ni baada ya kukaa na mteja uso kwa uso kwenye computer bila usiri wowote atashuhudia bei ya Japan, atashuhudia ushuru wa TRA na ataelekezwa gharama za bandari kwa vielelezo hivyo atakapata Jumla ya gharama zote.

Hapa chini nimekupatia screenshot ya ushuru wa Crown Royal Saloon na Athlete pamoja na bei zake za kununulia Japan.
Mda mwingine tunalazimika kuomba discount kwa niaba ya mteja ili hii bei iweze kupoa kidogo. Mfano hapo chini ukijumuisha CIF ambayo ni dola 2577 sawa na Tsh 5,965,755, jumlisha 6,529,123 ya ushuru, Jumlisha 1,000,000 ya whalphage, port charge, clearing, plate number, na transfer fee Jumla ni 13,494,000....tukiomba discount gari hii mteja ana uwezo wa kuipata kwa mpaka 12m, wewe ndugu yetu Crown Royal Saloon unaipataje kwa 10m???


View attachment 1181093View attachment 1181094View attachment 1181095
 
Wewe ni Muongo....biashara ya IMPORT ZIPOM..SIO KILA MTU ANAYETAKA GARI KUAGIZA ANA SMART PHONE NA HATA AKIWA NAYO SI KILA MTU ANAJUA PROCEDURES ZOTE ZA KUAGIZA MAGARI NJE...NA KUAGIZA MAGARI SIO RAHIS KIHIVYO KWA KILA MTU...KAMA WEWE UNAWEZA SIO WOTE...AU UNATAKA ASIYEWEZA ASIAGIZE AU AKUFATE WEWE KILOCAL LOCAL TU ILI UMUAGIZIE? WATU WAMEKAA , WAKAPLAN, WAKASAJILI OFISI...WEWE UNALETA CRITICS ZISIZO NA MACHO.
KUHUSU KUONGEZA BEI SIO KWELI LABDA MIJITU YA MITAANI ...LKN MUAGIZAJI BORA HUJADILI KILA KITU NA MTEJA WAKE...WAKIFIKIA MUAFAKA WATAFANYA...NIJUAVYO MIMI MTEJA YEYOTE HUWA NA ASSUMPTION YA BEI YA BIDHAA ANAYOTAFUTA...SIO RAHIS KUAGIZA IST YA 10M KWA 12M , JAPO TUNAJUA BEI ZA IST AU GARI YOYOTE HAZIWEZI FANANA HATA KAMA NI AINA MOJA..SABABU KUNA ASPECTS NYINGI.

NIMESAIDIA KUWEKA SAWA...NIKIWA NI MMOJA WA WAAGIZAJI WA BIDHAA NJE.
Kweli kaka Mimi nawaletea gar watu from Dubai nanunua mnadani Kabisaa, price znatgemea na si kaz nyepes Kama jamaa alivo sema
 
Do you pay Interest??

Utawezaje kukaa na pesa za watu bure bure ,
Kwann msifanye collaborations na Bank yoyote waandae product itayowawezesha watu kusave kwa ajili ya lengo hilo?

Kampuni yako ikifa kesho tutakupata wapi? Ama umewekwa utaratibu wa waliokua wakisave kupata fedha zao .
Maana hujalizingumzia hilo
bank wanaofa hizo services labda wewe ndo haufahamu. kusev bank inasaidia zaidi kwasababu hela inakua more secure, haipo tied na unaweza kuitoa mda wowote. faida ya kulipa kidogokidogo direct kwenye kampuni ya magari ni inakutia ujasiri wa kuendelea kulipa na si rahisi kuidraw hio hela kama ilvo rahisi kuidraw kwenye ATM.
ubaya wa kuisev bank ndo huo, mda wowote ukijiskia unaweza kwenda kuichomoa, huwezi kufikia malengo namna hii.
 
Habari ya Majukumu wana jukwaa?

Baada ya kupokea maoni kutoka kwa wadau wetu na wateja wetu mbali mbali, hatimae tumeamua kukubaliana na ombi la kuwekeza pesa kidogo kidogo kwa kati ya miezi 3- miezi 24 kwa anayehitaji kumiliki gari lakini hana pesa ya kulipia kwa pamoja.

Wajibu wa Mteja kwa huduma hii
1. Mteja anawajibika kusaini mkataba kwa ajili ya huduma hii
2. Mteja anatakiwa kua na shahidi ambae ni ndugu ambae tutatakiwa kumrejeshea kiasi kitakachokua kimewekwa iwapo mteja atafariki dunia kabla ya kukabidhiwa gari
3. Kutunza taarifa zake za kibenki kwa kipindi chote atakachokua akiwekeza

Wajibu wa Kampuni
1. Kuhifadhi pesa ya mteja mpaka itimie kama ilivyokusudiwa
2. Kumsaidia mteja kuchagua gari nzuri iliyo katika ubora na kumshauri kulingana na kipato chake
3. Kusaini mkataba wa makubaliano ya kupokea pesa za mteja kila mwezi mpaka zitakapotimia kwa dhumuni la kumuagizia gari

Faida za Huduma Hii kwa mteja

1. Itakulazimisha kutimiza ndoto yako ya kumiliki gari kwa kua utalazimika kupunguza matumizi mengine kwa mda ili utimize hili
2. Kujengewa nidhamu ya matumizi bora ya pesa yako na utaratibu wa kujiwekea vapaumbele
3. Hautahusika kuongeza pesa iwapo thamani ya dola itaongezeka


Usalama wa pesa yako
1. Kimomwe Motors ni Kampuni ya kitanzania iliyosajiliwa na inayofanya kazi kwa sheria za nchi yetu
2. Tunasaini mkataba wa kutunza pesa zako
3. Ndugu yako wa karibu atasaini mkataba kama mrithi wako na shahidi iwapo utafariki dunia kabla ya wakati sahihi
4. Hakutakua na gharama nyingine za ziada
5. Kimomwe Motors imedhamiria kua kampuni kubwa ya kwanza ya Kiafrika ya uagizaji wa magari kwa Africa Mashariki na kati ndani ya miaka michache ijayo hivyo usalama wa pesa ya mteja ni jambo la kwanza litakalotuwezesha kutimiza malengo hayo

N.B: KUHUSU KUSHUKA NA KUPANDA KWA DOLA
Iwapo dola itapanda au kushuka, mteja hatotakiwa kuongeza au kurejeshewa kiasi chochote kwa sababu tutatumia thamani ya dola wakati tunasaini mkataba

Kwa maelezo zaidi na ufafanuzi kuhudu huduma hii na nyinginezo waweza kutupigia sim namba 0746267740 au fika ofisini kwetu Magomeni Mapipa

KIMOMWE MOTORS: SAVE MONEY SAVE TIME
BMW x6 Bei gani
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom