TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,854
- 23,103
Ijapokuwa kwasasa dunia ni Kama Kijiji kutokana na utandawazi lakini bado sisi Waswahili bado tunaendekeza baadhi ya vijitabia ambavyo ikitokea siku ukabadilisha mazingira ukaenda kuishi ughaibuni utapata tabu Sana. Mfano:
1. Uswahilini tumekuwa na kajitabia ka kujivunga kula ukikaribishwa chakula ugenini mpaka ubembelezwe bembelezwe ndio ujidai basi nitakula kidogo tu, mwisho wa siiku unamaliza poti zima peke ako. Aisee kwa wenzetu usiposema una njaa utaishia kuwaona wenzio wanajipashia chakula Cha kumtosha mwenyeji tu huku wewe ukiishia kuungurumisha matumbo kwa minyoo ya njaa.
2. Uswahilini tuna kijitabia Cha kutokuwa straight kwenye kumkukatalia mtu Jambo ambalo huwezi kumfanyia kwa kuogopa utaonekana mbaya au nawewe siku ikiwa na shida hautasaidika. Yaani kumwambia mtu no hiyo hela siwezi kukupa kwa sababu wewe NI mvivu au Sina nishida. Yaani mtu atuzunguuka ili tu asionekane mbaya. Kwa wenzetu huitaji hata sekunde kupewa jibu lako. Just "No I can't lend you some money because last time you were staborn in paying me back". Na inakuwa imeisha hiyo, ukimaindi poa ukielewa poa.
3. Kushindwa kumwambia ukweli mtu aliyekuja kukutembelea bila appointment kwamba una ratiba nyingine. Hata Kama unaharaka zako tunaona vibaya kumwambia Mgeni aondoke coz wewe unaratiba nyingine. Utabaki unamsikiliza mpaka aamue kuaga mwenyewe. Au ukithibutu kumwambia aondoke utaanza na misamaha kibao utafikiri wewe ndio mwenye makosa.
Kwawenzetu Kama huna appointment Cha kwanza mlangoni tu utaulizwa "what are you doing here?" Hata Kama unasharura atakuambia sahivi natoka njoo muda Fulani. Inakuwa imeisha hiyo mtu anafunga mlango anakuacha nje.
Vipo vijitabia vingi Sana ambavyo kwa namna moja au nyingine vinapelekea tuonekane ni watu tusiojielewa au vinatuchelewesha kwenye uchumi wa Kati mkuu.
Toa uzoefu wako hapa.
Kawoli.
1. Uswahilini tumekuwa na kajitabia ka kujivunga kula ukikaribishwa chakula ugenini mpaka ubembelezwe bembelezwe ndio ujidai basi nitakula kidogo tu, mwisho wa siiku unamaliza poti zima peke ako. Aisee kwa wenzetu usiposema una njaa utaishia kuwaona wenzio wanajipashia chakula Cha kumtosha mwenyeji tu huku wewe ukiishia kuungurumisha matumbo kwa minyoo ya njaa.
2. Uswahilini tuna kijitabia Cha kutokuwa straight kwenye kumkukatalia mtu Jambo ambalo huwezi kumfanyia kwa kuogopa utaonekana mbaya au nawewe siku ikiwa na shida hautasaidika. Yaani kumwambia mtu no hiyo hela siwezi kukupa kwa sababu wewe NI mvivu au Sina nishida. Yaani mtu atuzunguuka ili tu asionekane mbaya. Kwa wenzetu huitaji hata sekunde kupewa jibu lako. Just "No I can't lend you some money because last time you were staborn in paying me back". Na inakuwa imeisha hiyo, ukimaindi poa ukielewa poa.
3. Kushindwa kumwambia ukweli mtu aliyekuja kukutembelea bila appointment kwamba una ratiba nyingine. Hata Kama unaharaka zako tunaona vibaya kumwambia Mgeni aondoke coz wewe unaratiba nyingine. Utabaki unamsikiliza mpaka aamue kuaga mwenyewe. Au ukithibutu kumwambia aondoke utaanza na misamaha kibao utafikiri wewe ndio mwenye makosa.
Kwawenzetu Kama huna appointment Cha kwanza mlangoni tu utaulizwa "what are you doing here?" Hata Kama unasharura atakuambia sahivi natoka njoo muda Fulani. Inakuwa imeisha hiyo mtu anafunga mlango anakuacha nje.
Vipo vijitabia vingi Sana ambavyo kwa namna moja au nyingine vinapelekea tuonekane ni watu tusiojielewa au vinatuchelewesha kwenye uchumi wa Kati mkuu.
Toa uzoefu wako hapa.
Kawoli.